iqna

IQNA

Jinai dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 87 wameuawa katika shambulizi la kujilipua kwa bomu lililotokea katika msikiti wa mji wa Peshawar huko kaskazini magharibi mwa Pakistan.
Habari ID: 3476489    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/30

TEHRAN (IQNA)- Shambulio la kigaidi lililolenga Msikiti wa Waislamu wa Kishia mjini Peshawar Pakistan linaendelea kulaaniwa na pande mbalimbali ulimwenguni.
Habari ID: 3475018    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/07

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wasiopungua 57 wameuawa shahidi leo wakati wa Sala ya Ijumaa katika shambulizi la kigaidi lililofanyika ndani ya msikiti mmoja ulioko katika mji wa Peshawar nchini Pakistan.
Habari ID: 3475004    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/04