iqna

IQNA

Kamanda Mkuu wa IRGC
TEHRAN (IQNA)- Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa na uwezo wa kujirushia satalaiti katika anga za mbali ni kigezo cha nchi iliyostawi duniani.
Habari ID: 3475023    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/08

Ustawi wa teknolojia Iran
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limerusha kwa mafanikio makubwa satalaiti ya Nour-2 ya kijeshi ya Iran katika anga za mbali.
Habari ID: 3475022    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/08