IQNA- Usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa kweli ni sauti mbinguni, ambapo kila aya ina thawabu kubwa kwa mwenye kuisoma, na kusikiliza kwake huleta faraja kwa nyoyo.
Habari ID: 3480951 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/15
IQNA – Tendo la kutusi na kudhalilisha nakala za Qur’ani Tukufu katika mataifa ya Magharibi kwa kisingizio cha kulinda uhuru wa kujieleza limekuwa likirudiwa mara kadhaa katika miaka ya hivi karibuni.
Habari ID: 3480510 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/08
IQNA - Programu ya usomaji wa Qur'ani ilifanyika kwenye sitaha ya meli ya kivita Jeshi la Waamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kusini mwa nchi.
Habari ID: 3479818 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27
Harakati za Qur'ani
IQNA - Maafisa wa Iran wamezindua mipango miwili mipya yenye lengo la kuhimiza kuhifadhi wa Qur'ani Tukufu miongoni mwa wanafunzi kote nchini.
Habari ID: 3479814 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/26
Sunnah za Mwenyezi Mungu katika Qur'ani/4
IQNA – Sunnah ya Mwenyezi Mungu ya Hidayah (mwongozo) ambayo inafanywa na viongozi wa Mwenyezi Mungu inawaongoza watu kwenye lengo kuu.
Habari ID: 3479343 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/28
Sunnah za Mwenyezi Mungu katika Qur’anI /3
IQNA – Imdad au msaada wa Mwenyezi Mungu ni Sunnah inayowanufaisha wanadamu wote, wawe ni waumini au makafiri.
Habari ID: 3479333 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/26
IQNA - Chuo cha Qur'ani cha Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu kimetangaza hitimisho la programu yake ya Qur'ani ya majira ya joto.
Habari ID: 3479283 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/16
Uislam nchini Uswidi
Wanawake wawili wa Uswidi ambao wamesilimu wanasimulia hadithi zao huku mmoja wao akisema alitokwa na machozi aliposikia kisomo cha Qur’ani Tukufu kikisomwa.
Habari ID: 3479155 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/20
Jumuiya ya Kuwait
Jumuiya ya Kufufua Turathi za Kiislamu ya Kuwait imesema imezindua kozi za Qur'ani.
Habari ID: 3479105 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/11
Imam Hussein (AS)
Ushahidi bora zaidi wa msingi wa Qur'ani wa mauaji ya Imam Hussein (AS) unaweza kupatikana katika wasia wake ulioandikwa kwa ndugu yake Muhammad ibn al-Hanafiyya.
Habari ID: 3479104 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/11
Umuhimu wa Qur'ani Tukufu
Makao makuu ya Shirika la Kielimu, Sayansi, na Utamaduni la Ulimwengu wa Kiislamu (ICESCO) yaliandaa Semina ya kwanza ya Kimataifa iliyopewa jina la "Qur'ani na Magharibi: Kuelekea Njia ya Kimakini" mnamo Jumanne, Julai 9, 2024, mwaka huu.
Habari ID: 3479101 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/10
Qur’ani Tukufu Siku za Muharram
Jumla ya maonyesho 100 ya Qur'ani yataandaliwa katika mikusanyiko inayoongoza ya waombolezaji wakati wa mwezi wa maombolezo wa Muharram mwaka huu, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479090 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/08
Misri
Wizara ya Awqaf ya Misri ilisema kuna mipango ya ongezeko kubwa la shughuli za Qur'ani na programu za misikiti katika mwaka ujao wa kalenda ya mwandamo wa Kiislamu.
Habari ID: 3479066 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/04
Nchini Saudi Arabia
Shirika la Awqaf na Misaada la Iran limewataja wahifadhi wawili kwa ajili ya kuiwakilisha nchi hiyo katika makala ya 44 ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia.
Habari ID: 3479026 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/29
Mashindano ya Qur’ani barani Afrika
Mashindano ya kwanza ya Qur'ani barani Afrika yanatarajiwa kufanyika nchini Uganda mwezi Oktoba mwaka huu.
Habari ID: 3479014 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/26
Mafunzo ya Qur’ani Tukufu
Msikiti wa Mtume Muhammad (SAW) katika mji mtukufu wa Madina utakuwa na kozi za Qur'ani za majira ya kiangazi zinazoeleza mapema mwezi ujao.
Habari ID: 3479001 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/23
Mashindano ya Qur''ani
TEHRAN (IQNA) – Qari wa Misri ametwaa taji la toleo la pili la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya "Awal Al Awail" nchini Qatar.
Habari ID: 3477886 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/13
STOCKHOLM (IQNA) – Mwanamume aliyepatikana na hatia ya kudhalilisha nakala ya Qu’rani Tukufu nchini Swedeni na kuweka video hiyo mitandaoni amewekwa hatiani kwa kuchochea chuki za kikabila dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3477728 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/14
Chuki dhidi ya Uislamu
Huku Waislamu katika kona zote za dunia wakiendelea kulaani na kupinga tukio la hivi karibuni la kuchomwa moto nakala ya Qur'ani Tukufu nchini Uswidi, Kitabu hicho kitukufu cha Waislamu kimechomwa moto na kutupwa nje ya Msikiti mmoja nchini Ujerumani.
Habari ID: 3477267 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/12
Sura za Qur'ani Tukufu /81
TEHRAN (IQNA) – Imesisitizwa katika vitabu vingi vya Uislamu na Qur'ani Tukufu kwamba matukio fulani yatatokea duniani mwishoni mwa dunia.
Habari ID: 3477071 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/30