Mawaidha
IQNA – Qur’ani Tukufu katika aya nyingi inazungumza kuhusu majaribu au mitihani ya Mwenyezi Mungu na jinsi Mwenyezi Mungu huwajaribu wanadamu.
Habari ID: 3478127 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/01
Qur'an Inasemaje /11
TEHRAN (IQNA)-Tunamjua Mwenyezi Mungu kuwa ni Mwingi wa Rehema na Mwenye kurehemu. Kwa hiyo Mungu hatatuacha peke yetu mbele ya adui yetu mkuu, yaani Shetani.
Habari ID: 3475417 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24