iqna

IQNA

IQNA – Kituo cha Kiislamu kinachojulikana kama Centro Islámico huko Alief kinatazamiwa kuandaa sherehe kubwa ya ufunguzi wikendi hii kwani kituo hicho kinalenga kutoa nafasi kwa jamii kwa Waislamu wanaozungumza Kihispania katija mji wa Houston, Texas nchini Marekani.
Habari ID: 3479758    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/16

Kadhia ya Palestina
Mama Muislamu na watoto wake walikua wahasiriwa wa madai ya jaribio la mauaji katika kidimbwi cha kuogelea cha ghorofa huko Euless, Texas.
Habari ID: 3478999    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/22

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) - Maonyesho ya picha yamefunguliwa huko San Antonio kwa lengo la kuangazia Waislamu huko Texas, Marekani.
Habari ID: 3475770    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/12

Mtazamo wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Duniani amelaani mauaji ya kiholela hivi karibuni katika shule huko Texas, Marekani ambapo watu 22 waliuawa huku akiashiria aya ya 32 ya Sura Al Maidah katika Qur'ani Tukufu inayozungumzia matukio kama hayo ya mauaji yasiyo na msingi.
Habari ID: 3475303    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27

TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja huko Texas Marekani unapanga 'Siku ya Wazi' ya kuwakaribisha wasiokuwa Waislamu ili kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3474882    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02

Chuki dhidi ya Uislamu
Kundi la wanaume jimboni Texas nchini Marekani wanapata mafunzo maalumu kwa ajili ya kuwaua Waislamu huku wakitumbukiza risasi zao katika damu au mafuta ya nguruwe katika mazoezi hayo.
Habari ID: 3470345    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/29