Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa, harakati hiyo itaendelea kuwaunga mkono wananchi madhlum wa Palestina na muqawama wao na kwamba harakati hiyo haitasita hata kidogo kutoa msaada wowote unaohitajika katika kupambana na adui Wazayuni.
Habari ID: 1433637 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/26
Leo inasadifiana na Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ambayo ni Siku ya Kimataifa ya Quds. Hii ni siku ya kupata nguvu upya taifa madhulumu la Palestina na ni siku ambayo inaunganisha nguvu za umma mzima wa Waislamu na kila mpenda haki duniani katika kupambana na utawala wa kibaguzi wa Kizayuni.
Habari ID: 1433171 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/25
Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kwamba, njia pekee ya kukabiliana na utawala wa kinyama wa Israel, ni kuwepo muqawama wa kutumia silaha wa Wapalestina na kupanuka wigo huo wa mapambano hadi kwenye eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 1433169 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/25
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetoa wito kwa taifa la Palestina kuuhami na kuulinda Msikiti wa Al Aqsa.
Habari ID: 1395102 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/14