iqna

IQNA

quds
Kadhia ya Gaza
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Ghaza ni suala ambalo haliwezi kufumbiwa macho kwani ndiyo kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa, hivyo kila mmoja wetu anapaswa kutekeleza vizuri majukumu yake kuhusu Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3478666    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Jinai za Israel
IQNA - Vikosi vya Israel vimewashambulia waumini karibu na lango la Asbat, lango kuu la kuingia Msikiti wa Al-Aqswa katika mji Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu, wakiwazuia na kuwapiga walipokuwa wakijaribu kuingia msikitini humo kwa ajili ya Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3478401    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/23

Jinai za Israel
IQNA - Maelfu ya waumini wa Kiislamu walizuiliwa na jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) kwa ajili ya kuswali swala ya Ijumaa.
Habari ID: 3478216    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kupanuka kwa jina, kumbukumbu na sifa za shahidi Qassim Suleimani kunatokana na ikhlasi ya shahidi huyo.
Habari ID: 3478124    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/01

Taazia
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, leo asubuhi ameongoza Sala ya Maiti ya kuusalia mwili wa Kamanda Shahidi Sayyid Razi Mousavi pamoja na kumsomea Faatiha na kumuombea dua Shahidi huyo.
Habari ID: 3478105    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/28

Jinai za Israel
IQNA – Mji wa Al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel Ijumaa umeshuhudia vikosi vya Israel vikitumia gesi ya kutoa machozi na nguvu ziada kuwatawanya waumini karibu na eneo la Msikiti wa Al-Aqsa huku watu wengi wakiugua kwa kuvuta gesi hiyo ya machozi.
Habari ID: 3478072    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/22

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mufti Mkuu wa al-Quds (Jerusalem) na Palestina amelaani kitendo cha hivi karibuni cha walowezi wa Kizayuni cha kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu katika Ukingo wa Magharibi wa Mji wa Al-Khalil (Hebron).
Habari ID: 3477871    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/10

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani uamuzi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kuhamisha ubalozi wake kutoka Tel Aviv hadi Al Quds inayokaliwa kwa mabavu (Jerusalem) na kutaka kuangaliwa upya uamuzi huo.
Habari ID: 3477647    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/24

Kadhia ya Palestina
Al QUDS (IQNA) - Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Ijumaa ya jana iliyosaliwa kwenye Msikiti wa Al-Aqsa mjini Al Quds (Jerusalem) licha ya kuwekewa vizuizi na kukabiliwa na hatua kali za kiusalama zilizochukuliwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika mji huo unaoukalia kwa mabavu.
Habari ID: 3477538    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/02

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeisitiza umuhimu wa kuhifadhi hadhi ya kihistoria na kisheria ya maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo huko al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3477482    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/22

Jinai za Israel
Al-AQSA (IQNA)- Kwa mara nyingine tena walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali tena wameuvamia na kuuvunjia heshima msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israen huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3477435    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/14

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) wamelaani uvamizi wa mara kwa mara wa wanajeshi wa utawala haramu Israel na walowezi wa Kizayuni wenye itikadi kali kwenye jengo la Msikiti wa al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem), na kuutaja utaratibu huo kuwa ni uvunjaji wa sheria za kimataifa.
Habari ID: 3477376    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/03

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Imam wa Sala ya Ijumaa wa ya Tehran amesema kwamba wananchi wa Iran walichukua hatua madhubuti na kubwa kuelekea katika kuliwezesha zaidi taifa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds, na ametoa shukrani zake kwa ushiriki mkubwa wa wananchi katika maandamano ya siku hiyo ya kuwaunga mkono mapambano ya ukombozi ya Wapalestina.
Habari ID: 3476927    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/28

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kundi la kutetea haki za binadamu limeonya kuhusu njama ya utawala ghasibu wa Israel kugeuza Jumba la Sala la Bab Al-Rahma katika Msikiti wa Al-Aqsa kuwa sinagogi.
Habari ID: 3476917    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/26

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)-Idara ya Wakfu wa Kiisalmu katika mji wa Al-Quds (Jerusalem) imetangaza kwamba wamini milioni nne walisali siku mbali mbali katika Msikiti wa Al-Aqsa katika kipindi kizima cha mwezi uliobarikiwa wa Ramadhani licha ya vizuizi vikali vilivyowekwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3476899    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/21

Msikiti wa Al Aqsa
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wapatao 250,000 wa Kipalestina walishiriki katika Sala ya mwisho ya Ijumaa ya Ramadhani 2023 katika Msikiti wa Al-Aqsa jana.
Habari ID: 3476874    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/15

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma na shambulio la kinyama la vikosi vya utawala ghasibu vya Kizayuni dhidi ya waumini wa Kipalestina waliokuwa katika ibada ya itikafu katika msikiti wa Al-Aqsa kwa mara nyingine imeweka bayana sura ya kinyama na kikatili ya utawala huo na ukiukaji wa haki za binadamu.
Habari ID: 3476814    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amelaani vikali uvamizi wa wanajeshi wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3476764    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/26

Shahidi Soleimani
TEHRAN (IQNA)-Kongamano la Kwanza wa Kimataifa wa Fikra za Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani limemalizika hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3476363    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Shirika la Kiislamu linalosimamia masuala ya Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) linasema kwamba idadi kubwa ya walowezi wa Kizayuni wa Israel walivamia eneo hilo takatifu la Kiislamu mwaka 2022.
Habari ID: 3476331    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/30