Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kundi la kutetea haki za binadamu limeonya kuhusu njama ya utawala ghasibu wa Israel kugeuza Jumba la Sala la Bab Al-Rahma katika Msikiti wa Al-Aqsa kuwa sinagogi.
Habari ID: 3476917 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/26
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)-Idara ya Wakfu wa Kiisalmu katika mji wa Al-Quds (Jerusalem) imetangaza kwamba wamini milioni nne walisali siku mbali mbali katika Msikiti wa Al-Aqsa katika kipindi kizima cha mwezi uliobarikiwa wa Ramadhani licha ya vizuizi vikali vilivyowekwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3476899 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/21
Msikiti wa Al Aqsa
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wapatao 250,000 wa Kipalestina walishiriki katika Sala ya mwisho ya Ijumaa ya Ramadhani 2023 katika Msikiti wa Al-Aqsa jana.
Habari ID: 3476874 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/15
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma na shambulio la kinyama la vikosi vya utawala ghasibu vya Kizayuni dhidi ya waumini wa Kipalestina waliokuwa katika ibada ya itikafu katika msikiti wa Al-Aqsa kwa mara nyingine imeweka bayana sura ya kinyama na kikatili ya utawala huo na ukiukaji wa haki za binadamu.
Habari ID: 3476814 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amelaani vikali uvamizi wa wanajeshi wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3476764 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/26
Shahidi Soleimani
TEHRAN (IQNA)-Kongamano la Kwanza wa Kimataifa wa Fikra za Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani limemalizika hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3476363 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Shirika la Kiislamu linalosimamia masuala ya Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) linasema kwamba idadi kubwa ya walowezi wa Kizayuni wa Israel walivamia eneo hilo takatifu la Kiislamu mwaka 2022.
Habari ID: 3476331 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/30
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kamati moja ya Palestina inasema utawala haramu wa Israel unajenga makaburi bandia karibu na Msikiti wa Al-Aqsa ili kughushi ushahidi katika siku zijazo.
Habari ID: 3476056 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Al-Aqsa ya Indonesia iimelaani vikalia hatua ya hivi karibuni ya walowezi wa Kizayuni wa Israel kusherehekea mwaka mpya wa Kiyahudi katika Msikiti wa Al-Aqsa huko al-Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Ibrahimi huko Al-Khalil (Hebron).
Habari ID: 3475855 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/29
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Chama kikubwa zaidi nchini Jordan kimeonya kuhusu ongezeko la walowezi wa Kizayuni Waisraeli ambao wanatekeleza hujuma za kichochezi dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa huko al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3475824 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/22
Jinai za Wazayuni
TEHRAN (IQNA)- Mabadiliko yoyote ambayo utawala haramu wa Israel unapanga kutekeleza katika hali ya miongo kadhaa iliyopita katika ukuta wa eneo lote Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) yanaweza kuzua vita vya kidini katika eneo hilo.
Habari ID: 3475451 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/02
Palestina na Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)-Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimelaani vikali hujuma za hivi karibu za walowezi Waisraeli dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel.
Habari ID: 3475322 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/01
Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nje ya nchi amesisitiza kuwa, Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) ni eneo la kidini na ni la Kiislamu kikamilifu na kwamba, wananchi wa Palestina hawataruhusu kutekelezwa njama chafu za kuliyahudisha eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3475263 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/18
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Russia wametangaza uungaji mkono jitihada za ukombozi wa taifa linalodhulumiwa la Palestina ambalo linakoloniwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475220 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/07
TEHRAN (IQNA)-Utawala wa Kizayuni wa Israel umezindua mpango haramu wa kujenga nyumba mpya zipatazo elfu nne katika eneo la Ukingo wa Magharibi, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3475219 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/07
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema uchaguzi uliopangwa kufanyika nchini humo hautaizuia harakati hiyo kujibu shambulio lolote la utawala bandia wa Israel, akisisitiza kuwa Hizbullah itajibu papo hapo shambulio lolote la utawala huo haramu.
Habari ID: 3475187 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/30
Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu imetangaza kuwa njia ya kuuangamiza utawala wa Kizayuni ni kuimarisha safu ya Jihadi na mapambano mataifa sambamba na nchi za Kiislamu kutangaza uungaji mkono wao wa pande zote kwa wananchi waliodhulumika wa Palestina.
Habari ID: 3475182 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/29
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Siku ya Kimataifa ya Quds ni nembo ya muqawama au mapambano katika Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3475180 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/28
TEHRAN (IQNA) - Katika kampeni iliyoitwa 'Hands Off Al-Aqsa Mosque' (Achaneni na Msikiti wa Al Aqsa), Baraza la Ushauri la Malaysia la Mashirika ya Kiislamu (Mapim) na mashirika 43 yasiyo ya kiserikali (NGOs) yameonyesha mshikamano wao na Wapalestina.
Habari ID: 3475163 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/24
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Afrika umelaani hujuma za utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) na Ukanda wa Gaa sambamba na kusisitiza uungajo mkono wake kwa watu wa Palestina.
Habari ID: 3475160 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/23