Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
        
        TEHRAN (IQNA)- Imam wa Sala ya Ijumaa wa ya Tehran amesema kwamba wananchi wa Iran walichukua hatua madhubuti na kubwa kuelekea katika kuliwezesha zaidi taifa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds, na ametoa shukrani zake kwa ushiriki mkubwa wa wananchi katika maandamano ya siku hiyo ya kuwaunga mkono mapambano ya ukombozi ya Wapalestina.
                Habari ID: 3476927               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/04/28
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Kundi la kutetea haki za binadamu limeonya kuhusu njama ya utawala ghasibu wa  Israel kugeuza Jumba la Sala  la Bab Al-Rahma katika Msikiti wa Al-Aqsa kuwa sinagogi.
                Habari ID: 3476917               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/04/26
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)-Idara ya Wakfu wa Kiisalmu katika mji wa Al-Quds (Jerusalem) imetangaza kwamba wamini milioni nne walisali siku mbali mbali katika Msikiti wa Al-Aqsa katika kipindi kizima cha mwezi uliobarikiwa wa Ramadhani licha ya vizuizi vikali vilivyowekwa na utawala haramu wa Israel.
                Habari ID: 3476899               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/04/21
            
                        Msikiti wa Al Aqsa
        
        TEHRAN (IQNA) – Waislamu wapatao 250,000 wa Kipalestina walishiriki katika Sala  ya mwisho ya Ijumaa ya Ramadhani 2023 katika Msikiti wa Al-Aqsa jana.
                Habari ID: 3476874               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/04/15
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma na shambulio la kinyama la vikosi vya utawala ghasibu vya Kizayuni dhidi ya waumini wa Kipalestina waliokuwa katika ibada ya itikafu katika msikiti wa Al-Aqsa kwa mara nyingine imeweka bayana sura ya kinyama na kikatili ya utawala huo na ukiukaji wa haki za binadamu.
                Habari ID: 3476814               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/04/05
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amelaani vikali uvamizi wa wanajeshi wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem).
                Habari ID: 3476764               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/03/26
            
                        Shahidi Soleimani
        
        TEHRAN (IQNA)-Kongamano la Kwanza wa Kimataifa wa Fikra za Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani limemalizika hapa mjini Tehran.
                Habari ID: 3476363               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/01/06
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Shirika la Kiislamu linalosimamia masuala ya Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) linasema kwamba idadi kubwa ya walowezi wa Kizayuni wa Israel walivamia eneo hilo takatifu la Kiislamu mwaka 2022.
                Habari ID: 3476331               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/30
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Kamati moja ya Palestina inasema utawala haramu wa Israel unajenga makaburi bandia karibu na Msikiti wa Al-Aqsa ili kughushi ushahidi katika siku zijazo.
                Habari ID: 3476056               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/11/08
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Al-Aqsa ya Indonesia iimelaani vikalia hatua ya hivi karibuni ya walowezi wa Kizayuni wa Israel kusherehekea mwaka mpya wa Kiyahudi katika Msikiti wa Al-Aqsa huko al-Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Ibrahimi huko Al-Khalil (Hebron).
                Habari ID: 3475855               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/29
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Chama kikubwa zaidi nchini Jordan kimeonya kuhusu ongezeko la walowezi wa Kizayuni Waisraeli ambao wanatekeleza hujuma za kichochezi dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa huko al-Quds (Jerusalem).
                Habari ID: 3475824               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/22
            
                        Jinai za Wazayuni
        
        TEHRAN (IQNA)- Mabadiliko yoyote ambayo utawala haramu wa Israel unapanga kutekeleza katika hali ya miongo kadhaa iliyopita katika ukuta wa eneo lote Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) yanaweza kuzua vita vya kidini katika eneo hilo.
                Habari ID: 3475451               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/07/02
            
                        Palestina na Al Aqsa
        
        TEHRAN (IQNA)-Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimelaani vikali hujuma za hivi karibu za walowezi  Waisraeli dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel.
                Habari ID: 3475322               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/06/01
            
                        Ukombozi wa Palestina
        
        TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nje ya nchi amesisitiza kuwa, Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) ni eneo la kidini na ni la Kiislamu kikamilifu na kwamba, wananchi wa Palestina hawataruhusu kutekelezwa njama chafu za kuliyahudisha eneo hilo takatifu.
                Habari ID: 3475263               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/05/18
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Russia wametangaza uungaji mkono jitihada za ukombozi wa taifa linalodhulumiwa la Palestina ambalo linakoloniwa na utawala haramu wa Israel.
                Habari ID: 3475220               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/05/07
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)-Utawala wa Kizayuni wa Israel umezindua  mpango haramu wa kujenga nyumba mpya zipatazo elfu nne katika eneo la Ukingo wa Magharibi, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
                Habari ID: 3475219               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/05/07
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema uchaguzi uliopangwa kufanyika nchini humo hautaizuia harakati hiyo kujibu shambulio lolote la utawala bandia wa Israel, akisisitiza kuwa Hizbullah itajibu papo hapo shambulio lolote la utawala huo haramu.
                Habari ID: 3475187               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/04/30
            
                        Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu
        
        TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu imetangaza kuwa njia ya kuuangamiza utawala wa Kizayuni ni kuimarisha safu ya Jihadi na mapambano mataifa sambamba na nchi za Kiislamu kutangaza uungaji mkono wao wa pande zote kwa wananchi waliodhulumika wa Palestina.
                Habari ID: 3475182               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/04/29
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Siku ya Kimataifa ya Quds ni nembo ya muqawama au mapambano katika Umma wa Kiislamu.
                Habari ID: 3475180               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/04/28
            
                        
        
        TEHRAN (IQNA) - Katika kampeni iliyoitwa 'Hands Off Al-Aqsa Mosque' (Achaneni na Msikiti wa Al Aqsa), Baraza la Ushauri la Malaysia la Mashirika ya Kiislamu (Mapim) na mashirika 43 yasiyo ya kiserikali (NGOs) yameonyesha mshikamano wao na Wapalestina.
                Habari ID: 3475163               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/04/24