Mazungumzo
IQNA-Mkuu wa Shirika la Iran Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) na waziri wa utamaduni wa Croatia wanesisitiza umuhimu wa kuendeleza mazungumzo ya dini mbalimbali kati ya Iran na Croatia.
Habari ID: 3479712 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/06
Mtazamo
IQNA – Mwanazuoni mmoja amesitiza kuwa Katiba ya Madina, iliyoanzishwa na Mtume Muhammad (SAW), inaweza kuwa kielelezo muhimu cha mazungumzo ya kisasa baina ya dini mbalimbali.
Habari ID: 3479660 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/28
Umoja wa Waislamu
IQNA - Mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur unatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa zaidi wa kimataifa wa viongozi wa kidini barani Asia.
Habari ID: 3478776 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/05
Wasomi wa Afrika Kusini
TEHRAN (IQNA) – Wasomi wa Afrika Kusini wamesema vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu ambavyo vimeshuhudiwa barani Ulaya hivi karibuni vinapaswa kulaaniwa.
Habari ID: 3476486 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/30
Mazungumzo ya kidini
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) amesema kurudiwa kwa kesi za kuvunjia heshima matukufu ya kidini na ukimya au uhalalishaji unaofanywa na serikali za Magharibi kwa jina la uhuru wa kujieleza unaonyesha mwelekeo wa kimfumo wa kueneza chuki.
Habari ID: 3476484 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29