Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Jordan inapaswa kujiandaa kwa "makabiliano ya kweli" na utawala haramu wa Israel, afisa wa zamani wa Jordan amesema.
Habari ID: 3476743 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeiomba Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa hati ya kukamatwa Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na matamshi yake dhidi ya Palestina.
Habari ID: 3476739 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/21