Muqawa
IQNA-Zaidi ya walowezi haramu milioni moja wamekimbilia katika mahandaki huku wakiwa na hofu na wahka mkubwa baada ya kombora lililorushwa kutoka upande wa Yemen kutua katika eneo kubwa zaidi la mji wa Tel Aviv katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina bandi la Israel.
Habari ID: 3479920 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/19
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi, ameuonya vikali utawala wa kibaguzi wa Israel kuhusu kuchukua hata hatua ndogo ya uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, akisema Iran itajibu uchokozi huo kwa "kuangamiza Haifa na Tel Aviv."
Habari ID: 3476884 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18