IQNA - Makundi ya wapiganaji nchini Syria yamepora kaburi takatifu la Hadhrat Zeynab (SA) katika kitongoji cha Damascus nchini Syria, kulingana na picha zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3479881 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/09
Diplomasia
TEHRAN (IQNA) – Rais wa Iran Ebrahim Raisi, ambaye yuko katika safari rasmi nchini Syria, ametembelea kaburi takatifu la Bibi Zainab (SA) huko Damascus.
Habari ID: 3476956 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/04