iqna

IQNA

Tuko katika siku za kukumbuka kuuawa shahidi binti kipenzi wa Mtume Muhammad (saw) Fatimatu Zahra (as). Bibi Fatima al Zahra (as) ni binti ya Mtukufu Mtume Muhammad (saw) na Bibi Khadija bint Khuwailid, mke kipenzi wa Mtume na mtoto wa nne wa kike wa Mtume wa Mwenyezi Mungu. Baadhi ya lakabu zake ni al Zahra, Siddiqa, Twahira, Mubarakah, Zakiyyah, Raadhiyah, Mardhiyya, Muhaddathah na Batul.
Habari ID: 3015831    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/20

Kongamano la Tano la Kimataifa la “Ghaza, Nembo ya Muqawama (mapambano)” lilifanyika hapa Tehran siku ya Jumapili kwa minajili ya kukumbuka na kuadhimisha siku ya ushindi mkubwa wa wanamapambano wa Palestina katika vita vya siku 22 vya Ghaza vilivyoanza mwishoni mwa mwaka 2008 na kuendelea hadi mwanzoni mwa mwaka 2009.
Habari ID: 2728172    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kuuletea madhara mshikamano na kuzusha mizozo baina ya Waislamu wa Kishia na Kisunni ni moja ya vithibitisho vya kukufuru neema za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 1397724    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/20