ufaransa - Ukurasa 9

IQNA

Meya wa eneo la 16 la Paris ambaye mapema mwaka huu hakuhudhuria mahakamani kwa kosa la kuvunjia heshima Uislamu, amekataa tena kufika mahakamani kwa mara pili.
Habari ID: 1422665    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/25

Magaidi wa Kikristo huko Jamhuri ya Afrika ya Kati wamewapa Waislamu waliookwenda kujisitiri katika kanisa moja nchini humo kuondoka nchini humo au wauawe.
Habari ID: 1380049    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/25