Mabunge ya Uhispania na Ufaransa yamepanga kupigia kura azimio la kulitambua taifa la Palestina, hatua ambayo imekuwa ikichukuliwa ma nchi kadhaa za Ulaya.
Habari ID: 1473023 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/14
Meya wa eneo la 16 la Paris ambaye mapema mwaka huu hakuhudhuria mahakamani kwa kosa la kuvunjia heshima Uislamu, amekataa tena kufika mahakamani kwa mara pili.
Habari ID: 1422665 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/25
Magaidi wa Kikristo huko Jamhuri ya Afrika ya Kati wamewapa Waislamu waliookwenda kujisitiri katika kanisa moja nchini humo kuondoka nchini humo au wauawe.
Habari ID: 1380049 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/25