ufaransa - Ukurasa 2

IQNA

IQNA – Wachezaji wa soka Waislamu nchini Ufaransa wamepigwa marufuku kufunga wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wanapokuwa wakifanya mazoezi na timu ya taifa.
Habari ID: 3480302    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/04

IQNA-Chama cha Wanafunzi Waislamu wa Ufaransa (EMF) kimelaani vikali pendekezo la sheria inayopiga marufuku uvaaji wa Hijabu katika mashindano ya michezo, likiitaja kuwa "ya kibaguzi, ya chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na ya ubaguzi wa kijinsia."
Habari ID: 3480247    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21

Waislamu
IQNA - Shule ya Kiislamu kusini-mashariki mwa Ufaransa imewasilisha kesi mahakamani dhidi ya mbunge kwa kuibua uzushi dhidi ya shule hiyo
Habari ID: 3479915    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/18

IQNA - Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wametoa wito kwa Ufaransa kubatilisha hatua zake za kibaguzi zinazopiga marufuku wanawake na wasichana kuvaa Hijabu wanapocheza michezo, huku wakiitaka Ufaransa kufuata majukumu ya kimataifa ya haki za binadamu.
Habari ID: 3479664    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/29

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mamlaka za Ufaransa zilimkamata na kisha kumwachilia muuguzi Imane Maarifi, ambaye alitumia siku 15 kujitolea kama tabibu katika Ukanda wa Gaza wakati huu wa vita vya mauaji ya kimbari vya ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479394    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07

Misikiti Nchini Ufaransa
Msikiti Mkuu wa Paris, alama ya umuhimu wa kitamaduni na kidini nchini Ufaransa, utakuwa sehemu ya sherehe za Olimpiki za 2024 mwaka huu huku ukikaribisha mwali wa Olimpiki mnamo Julai 14 saa 3 asubuhi.
Habari ID: 3479102    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/10

Nuru ya Uislamu
IQNA - Profesa wa sheria wa Ufaransa na mwanaharakati anayeunga mkono Palestina amesilimu baada ya kusoma Qur'ani Tukufu akiwa katika kambi ya wakimbizi katika mji wa Jenin, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3478844    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/18

Waislamu Ufaransa
IQNA - Msikiti Mkuu wa Paris ulimkosoa waziri mkuu wa Ufaransa kwa matamshi yake ya hivi karibuni ya chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3478751    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/30

Waislamu Ufaransa
IQNA-Kuongezeka chuki katika ngazi za kisiasa na kijamii dhidi ya wanawake Waislamu hasa wanaovalia hijabu na niqabu nchini Ufaransa kumepelekea idadi kubwa ya wanawake hao waihame nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3478370    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/18

Waislamu Ufaransa
IQNA - Malalamiko ya kukashifiwa yamewasilishwa dhidi ya Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gerald Darmanin na mchezaji mashuhuri wa sokaKarim Benzema.
Habari ID: 3478208    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/17

Chuki dhidi ya Uislamu
PARIS (IQNA) - Mwanafikra wa Morocco amekosoa uamuzi wa Ufaransa wa kuwakataza wanariadha wake kuvaa hijabu ambayo huvaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu, wakati wa Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024, akisema inafichua upofu na msimamo mkali wa mawazo ya kisiasa ya Ufaransa.
Habari ID: 3477696    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/07

Waislamu Ufaransa
PARIS (IQNA) - Mwanafunzi wa Kiislamu wa Ufaransa, aliyekataliwa hivi majuzi kuingia shuleni kwake huko Lyon kwa kuvaa vazi la Kijapani la Kimono, amepeleka kesi yake kwenye Umoja wa Mataifa (UN), akisema amebaguliwa kwa misingi ya imani yake ya kidini.
Habari ID: 3477639    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/23

Waislamu Ufaransa
PARIS (IQNA) - Edouard Philippe, ambaye aliwahi kuwa waziri mkuu chini ya Rais wa Ufaransa Emanuel Macron kutoka 2017-2020, almeandika katika kitabu chake kipya kilichotolewa Des Lieux Qui Disent (Maeneo Yanayozungumza) kwamba kuna haja ya kuunda "kanuni na shirika maalum kwa ajili ya kusimamia masuala ya Waislamu”.
Habari ID: 3477620    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/18

Chuki dhidi ya Uislamu
GENEVA (IQNA) - Msemaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu (OHCHR) amelaani uamuzi wa Ufaransa wa kuwapiga marufuku wanafunzi Waislamu kuvaa abaya.
Habari ID: 3477526    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/31

Chuki dhidi ya Waislamu
WASHINGTON, DC (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Marekani na Kiislamu (CAIR) limelaani uamuzi wa serikali ya Ufaransa wa kupiga marufuku wanafunzi Waislamu kuvaa Abaya.
Habari ID: 3477513    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/29

Waziri wa elimu wa Ufaransa anasema mwili wake hauwezi kuvumilia maombi ya wanafunzi Waislamu shuleni kote nchini.
Habari ID: 3477164    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/19

Waislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Kundi la wanazuoni na taasisi za Kiislamu nchini Ufaransa wamekashifu vikali shutuma zilizotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo ya Ulaya dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa.
Habari ID: 3477041    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/25

TEHRAN (IQNA) – Msomi Muislamu wa Austria, Farid Hafez ameitaja serikali ya Ufaransa kama nchi ya Ulaya ambayo ina mtazamo mkali zaidi kwa Waislamu Waislamu.
Habari ID: 3477035    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/23

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Marefa nchini Ufaransa wameamuriwa na shirikisho la soka la nchi hiyo kutositisha mechi ili kuwaruhusu wachezaji Waislamu kufuturu katika mwezi wa Ramadhani.
Habari ID: 3476794    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/01

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) – Mwandishi wa riwaya wa Ufaransa mwenye utata Michel Houellebecq anashtakiwa na Muungano wa Misikiti nchini Ufaransa kwa ubaguzi, matamshi ya chuki na kuchochea ghasia katika matamshi wakati wa mahojiano.
Habari ID: 3476404    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14