Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelaani vikali hatua ya jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo ya kuchapisha tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW na kusisitiza kuwa: Njama hizo za Marekani na utawala wa Kizayuni ni dhambi isiyosameheka.
Habari ID: 3473148 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/08
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu limelaani kitendo cha jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo cha kumvunjia heshima tena Bwana Mtume Muhammad SAW na vile vile kitendo kichafu kilichofanywa nchini Sweden cha kuuchoma moto nakala ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473145 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/07
Sheikh Mkuu wa Al Azhar
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mkuu wa Al Qur’ani amelaani vikali vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu na kutaja vitendo hivyo vilivyo dhidi ya dini kuwa ni jinai ya kigaidi.
Habari ID: 3473143 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/06
Ayatullah Nouri Hamedani
TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni wa ngazi za juu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu ni njama za vituo vya kifikra vya Utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani katika fremu ya kueneza chuki na hofu dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473142 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/06
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali hatua ya jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo ya kuchapisha tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3473135 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/04
TEHRAN (IQNA) - Kwa mara nyingine tena jarida hilo la Kifaransa la Charlie Hebdo limeamua kwa makusudi kuwafanyia kejeli na istihzai Waislamu na dini tukufu ya Uislamu kwa kuchapisha vibonzo vyenye kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu.
Habari ID: 3473129 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/02
Rais wa Iran katika mazungumzo ya simu na Rais wa Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa ufaransa akisema kuwa Marekani daima imekuwa ikifanya jitihada za kuua mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kuwa: Ulaya haipasi kukubali kuburutwa na Marekani na kutumbukia katika mtego wake.
Habari ID: 3473063 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/13
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mkubwa zaidi katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris, utafunguliwa tena Jumanne.
Habari ID: 3472819 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/31
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Misikiti Ufaransa (UMF) imetoa wito kwa Waislamu nchini humo kuswali na kusherehekea Idul Fitr majumbani mwao ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19.
Habari ID: 3472744 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/08
TEHRAN (IQNA) – Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametoa hakikisho kuwa, Waislamu watakaofariki nchini humo kutokana na ugonjwa wa COVID-19 au corona watazikwa kwa mujibu wa taratibu za Kiislamu.
Habari ID: 3472648 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/09
TEHRAN (IQNA) - Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameendeleza vita vyake dhidi ya Uislamu baada ya kutangaza kuwa atapambana na 'Uislamu wa kisiasa."
Habari ID: 3472485 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/19
TEHRAN (IQNA) – Vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa viliongezeka kwa asilimia 54 katika mwaka uliopita wa 2019.
Habari ID: 3472414 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/28
TEHRAN (IQNA) – Mohammad Moussaoui amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Baraza la Waislamu Ufaransa (CFCM).
Habari ID: 3472389 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/20
TEHRAN (IQNA) – Uchunguzi wa maoni umebaini kuwa asilimia 42 ya Waislamu Ufaransa wanabaguliwa au kubughudhiwa nchini humo.
Habari ID: 3472204 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/07
TEHRAN (IQNA) – Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameendelea sera zake za chuki dhidi ya Uislamu kwa kusema anapinga vazi la staha la Hijabu la wanawake Waislamu kuvaliwa katika idara au taasisi za kiserikali zinazotoa huduma kwa umma.
Habari ID: 3472186 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/25
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA) – Yahya (Christian) Bonaud, mwanafikra Mfaransa, msomi na mtarjumi wa Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kifaransa amefariki Jumatatu akiwa na umri wa miaka 62.
Habari ID: 3472103 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/27
TEHRAN (IQNA)-Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametakuwa kusikiliza sauti za Waislamu kabla ya kukamilisha rasimu ya sheria mpya za Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3471698 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/01
TEHRAN (IQNA)- Ousmane Dembele mchezaji wa Timu ya Taifa ya Soka ya Ufaransa ambaye alinawiri katika Kombe la Dunia hivi karibuni nchini Russia ametangaza kuwa atajenga msikiti katika nchi yake ya asili, Mauritania.
Habari ID: 3471598 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/18
TEHRAN (IQNA)-Tafrani iliibuka Ijumaa katika kitongoji kimoja cha mji mkuu wa Ufaransa Paris, baada ya baadhi ya wakazi wa mji kujaribu kuwazuia Waislamu kuswali Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3471258 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/11
TEHRAN (IQNA)- Waislamu 8 wamejeruhiwa baada ya kufyatuliwa risasi na magaidi mbele ya mlango wa msikiti kusini mwa Ufaransa.
Habari ID: 3471050 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/04