iqna

IQNA

ufaransa
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu (IUMS) imelaani vikali hatua ambazo serikali ya Ufaransa inachukua dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3473587    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/25

TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gérald Darmanin ametangaza uamuzi wa kufunga misikiti tisa nchini humo katika kile kinachoonekana kuwa ni kukithiri ukandamizaji wa Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473563    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/16

TEHRAN (IQNA) -Utawala wa Ufaransa, wenye chuki shadidi dhidi ya Uislamu, umepasisha sheria mpya ya kuzidi kuwabana na kuwakandamiza Waislamu wa nchi hiyo.
Habari ID: 3473446    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/11

TEHRAN (IQNA) -Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR), limetangaza kuwa litatenga s ofisi katika makao makuu yake kwa ajili ya kutumiwa na Taasisi ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu au Islamophobia Ufaransa (CCIF) ambayo imefungwa na serikali ya nchi hiyo.
Habari ID: 3473423    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/05

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Ufaransa imetangaza mpango mkubwa na ambao haujawahi kushuhudiwa wa kufanya upekuzi katika misikiti ya nchini humo.
Habari ID: 3473419    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/03

TEHRAN (IQNA)- Ikiwa ni katika kuendeleza kampeni dhidi asasi za Kiislamu, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gerald Darminian ametangaza mpango wa kupiga marufuku Taasisi ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu au Islamophobia Ufaransa (CCIF).
Habari ID: 3473378    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/20

TEHRAN (IQNA) – Waziri wa zamani wa utamaduni nchini Senegal amerejesha nishani ya juu zaidi ya Ufaransa ya Légion d'honneur aliyokuwa ametunukiwa.
Habari ID: 3473363    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/15

TEHRAN (IQNA) -Wanajeshi wa Ufaransa walioko nchini Mali wamedai kumuangamiza kinara wa operesheni za kigaidi za tawi la kaskazini mwa Afrika la mtandao wa kigaidi wa Al Qaeda.
Habari ID: 3473358    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/14

Ufaransa yaonaya raia wake baada ya hujuma dhidi ya makaburi Jeddah, Saudia
Habari ID: 3473352    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/12

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amedai kuwa Paris inaheshimu dini ya Uislamu na kwamba Waislamu ni sehemu ya jamii ya Ufaransa.
Habari ID: 3473343    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/09

TEHRAN (IQNA) - Waislamu katika nchi mbali mbali duniani wanaendelea kuandamana kulaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW na hatua ya Rais Emmanuel Macron kuunga mkono kitendo hicho.
Habari ID: 3473339    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/08

TEHRAN (IQNA) - Wimbi kali la maandamano ya kulaani matamshi yaliyotolewa na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa akitetea matusi na kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW Nchini humo limeendelea kushuhudiwa katika pembe mbalimbali za dunia.
Habari ID: 3473325    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/03

TEHRAN (IQNA) - Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameonekana kuanza kusalimu amri mbele ya mashinikizo ya Waislamu na sasa amelegeza msimamo wake mkali wa awali wa matamshi yaliyojaa chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473319    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/02

TEHRAN (IQNA)- Mfunguo Sita Rabiul Awwal ni mwezi ambao Waislamu kote duniani wanashereheka siku aliyozaliwa Mtume Muhammad SAW, siku ambayo ni maarufu kama Maulidi.
Habari ID: 3473314    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/31

Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kama nchi za Magharibi, za Ulaya na Ufaransa ni wakweli katika madai yao kwamba zinapigania amani, udugu, usalama na utulivu katika jamii ya mwanadamu basi zinapaswa kuacha kuingilia masuala ya ndani ya Waislamu.
Habari ID: 3473307    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu akiwahutubu vijana Wafaransa
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameeleza kushangazwa kwake na undumakuwili wa Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa kulikingia kifua jarida la Charlie Hebdo la nchini hiyo ya Ulaya kwa kuchapisha tena vibonzo vya kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW, kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.
Habari ID: 3473306    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/29

TEHRAN (IQNA)- Baada ya kuchapishwa katuni zinazommvunjia heshima Mtume Muhammad SAW nchini Ufaransa na baada ya hapo matamshi ya Rais Macron wa nchi hiyo kutoa matamshi yenye chuki dhidi ya Uislamu, Waislamu kote duniani wameandamana kulaani vitendo hivyo huku wakiitaka bidhaa za Ufaransa zisusiwe.
Habari ID: 3473305    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/28

TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja katika wilaya ya Vernon kaskazini mwa Ufaransa umepokea vitisho vya kushambuliwa huku chuki dhidi ya Uislamu ikishadidi nchini humo.
Habari ID: 3473304    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/28

TEHRAN (IQNA- Balozi Mdogo wa Ufaransa mjini Tehran, Florent Aydalot, ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kukabidhiwa malalamiko ya Iran kuhusu sisitizo la serikali ya Ufanrasa la kuwaunga mkono waliochapisha katuni zilizomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3473299    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/27

TEHRAN (IQNA) -Malalamiko na ukosoaji dhidi ya matamshi yaliyotolewa na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa akitetea vitendo vya kutusiwa na kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW nchini humo unaendelea kupamba moto huku nchi mbalimbali za Kiislamu zikitoa wito wa kuiadhibu Paris kwa kususia bidhaa za Ufaransa.
Habari ID: 3473297    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/26