iqna

IQNA

Idara ya kuchunguza chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika Baraza Kuu la Waislamu Ufaransa imeonya kuhusu ongezeko la kasi la hujuma za chuki dhidi ya Uislamu na vitisho dhidi ya Waislamu nchini humo katika kipindi cha miezi sita iliyopita.
Habari ID: 3331842    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/21

Kiongozi wa ngazi ya juu wa Kiislamu nchini Ufaransa amesema kuwa misikiti 2200 nchini humo haiwatoshelezi mamilioni ya Waislamu wa Ufaransa na kutaka kuongezwa mara mbili idadi ya misikiti iliyopo katika muda wa miaka miwili.
Habari ID: 3099046    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/06

Baadhi ya nakala za kale zaidi za Qur’ani duniani ambazo ni zama miaka ya awali ya Uislamu zimewekwa katika maonyesho.
Habari ID: 2917897    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/02

Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu duniani wanaendelea kulaani kitendo cha hivi karibuni cha jarida moja la Ufaransa la Charlie Hebdo kuchora vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtumu Mtukufu wa Uislamu, Mohammad SAW.
Habari ID: 2766561    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/26

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa kujiepusha na ugaidi, misimamo mikali na utumiaji mabavu kwa kisingizio cha kulinda dini.
Habari ID: 2743220    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/22

Kijana wa Mwislamu anayejulikana kwa jina la Lassan Bathily amekuwa shujaa nchini Ufaransa baada ya kuwaokoa wanunuzi Mayahudi wakati watu wenye silaha walipolivamia jengo la biashara ya Hyper Cacher mjini Paris siku chache zilizopita.
Habari ID: 2706293    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/13

Stephen Le Foll, Msemaji wa serikali ya Ufaransa ametembelea na kukagua msikiti ulioko katika eneo la Port- la- Nouvelle kusini mwa nchi hiyo. Taarifa zinasema kuwa, msikiti huo ulishambuliwa kwa maguruneti matatu.
Habari ID: 2700801    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/12

Rais Francois Hollande wa Ufaransa amepinga kuweko uhusiano wowote kati ya wafanya mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni katika mji mkuu wa nchi hiyo Paris na dini ya Kiislamu.
Habari ID: 2692011    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/10

Baada ya kutoa mafunzo kwa Maimamu wa miskiti kutoka nchi kadhaa za Afrika, Morocco sasa imesema itatoa mafunzo kwa maimamu 50 kutoka Ufaransa.
Habari ID: 2625018    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/22

Mabunge ya Uhispania na Ufaransa yamepanga kupigia kura azimio la kulitambua taifa la Palestina, hatua ambayo imekuwa ikichukuliwa ma nchi kadhaa za Ulaya.
Habari ID: 1473023    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/14

Meya wa eneo la 16 la Paris ambaye mapema mwaka huu hakuhudhuria mahakamani kwa kosa la kuvunjia heshima Uislamu, amekataa tena kufika mahakamani kwa mara pili.
Habari ID: 1422665    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/25

Magaidi wa Kikristo huko Jamhuri ya Afrika ya Kati wamewapa Waislamu waliookwenda kujisitiri katika kanisa moja nchini humo kuondoka nchini humo au wauawe.
Habari ID: 1380049    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/25