ufaransa - Ukurasa 3

IQNA

Waislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Jamia wa Paris, Ufaransa unawasilisha malalamiko ya jinai dhidi ya mwandishi Mfaransa Michel Houellebecq kutokana na kauli zake dhidi ya Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3476330    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/30

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Mahakama moja ya Ufaransa imemtoza faini mmiliki wa mgahawa kusini-magharibi mwa nchi hiyo ya Ulaya kwa kumkataza mwanamke Mwislamu kuingia akiwa amevaa mtandio wa Kiislamu, unajulikana pia kama Hijabu.
Habari ID: 3476178    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/01

Chuki dhidi ya Waislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) – Wakuu wa Ufaransa wameifunga shule mbili za Kiislamu katika mji wa kusini wa Montpellier, vyombo vya habari vya ndani viliripoti.
Habari ID: 3476108    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18

Wanazuoni Mashuhuri wa Kiislamu Duniani /4
TEHRAN (IQNA) – Allamah Mohamed Ben Checkroun alikuwa mwanachuoni aliyeandika tafsiri na tarjuma ya kwanza ya uhakika ya Qur’ani Tukufu katika lugha ya Kifaransa katika jildi kumi.
Habari ID: 3476035    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/04

TEHRAN (IQNA) – Tatizo la chakula katika mikahawa ya shule nchini Ufaransa ni keri kubwa kwa wazazi wengi wa wanafunzi Waislamu.
Habari ID: 3475982    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/24

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN(IQNA0- Wanaharakati katika mitandao ya kijamii ya Ufaransa wamekemea vikali shambulio lililofanywa dhidi ya mwanafunzi wa Kiislamu aliyekuwa na vazi la staha la hijabu katika shule ya sekondari baada ya nakala ya Qur'ani Tukufu aliyokuwa nayo kuraruliwa na kisha akavuliwa vazii lake la Hijabu.
Habari ID: 3475944    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/17

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Msomi na mwanafikra wa Ufaransa amesema chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) haikomei kwa chama fulani bali ni sera ya serikali nchini Ufaransa.
Habari ID: 3475936    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/16

Waislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA)- Mwanasiasa mwenye siasa kali za mrengo wa kulia wa Ufaransa, Marine Le Pen amemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo, Gérald Darmanin, kufunga misikiti zaidi ya Waislamu akisema kuwa kufungwa misikiti 24 katika kipindi cha miaka miwili iliyopita haitoshi.
Habari ID: 3475881    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/05

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Serikali ya Ufaransa imefunga makumi ya misikiti katika kipindi cha miaka miwili hivi kwa kisingizio cha sheria yenye utata na iliyokosolewa sana.
Habari ID: 3475877    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/04

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Mashirika ya kiraia ya Kiislamu yameshutumu nchi za Ulaya kwa kukandamiza jamii za Kiislamu, na hivyo kuzusha hali ya wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa wimbi la chuki dhidi ya Uislamu inayofadhiliwa na serikali barani Ulaya.
Habari ID: 3475859    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30

Waislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Serikali ya Ufaransa inapanga kufunga msikiti mwingine, ikimtuhumu imamu wa masikiti husika kuwa na itikadi kali.
Habari ID: 3475853    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/29

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA)- Mwenendo wa chuki dhidi ya Uislamu na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu katika mataifa ya Ulaya hususan Ufaransa ungali unaendelea huku kukiwa na mpango wa kuwatimua Maimamu na viongozi wengine wa jamii ya Waislamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3475748    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/07

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA)- Maimamu 15 wa msikiti huko nchini Ufaransa watafukuzwa nchini humo kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya uchochezi.
Habari ID: 3475716    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/01

Sala ya mvua
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa Ufaransa wameombea mvua wakati nchi hiyo, pamoja na mataifa mengine ya Ulaya, yakikumbwa na kile kilichotajwa kuwa ukame mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 500.
Habari ID: 3475625    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/15

Waislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) – Ufaransa ilimbagua mwanamke Mwislamu ambaye alizuiwa kuhudhuria mafunzo ya ufundi stadi katika shule ya umma akiwa amevalia hijabu yake, kamati ya Umoja wa Mataifa iliamua.
Habari ID: 3475578    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/04

Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)-Mtu asiyejulikana ametekteza moto msikiti katika mji wa Rennes magharibi mwa Ufaransa na tayari mamlaka imeanzisha uchunguzi kuhusu jinai hiyo.
Habari ID: 3475384    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/16

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) –Umoja wa Ulaya umetuhumiwa kuwa unapuuza chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3475378    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/15

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Mgahawa huko Ufaransa haukumruhusu mwanamke Muislamu aliyevaa Hijabu kwa sababu ya vazi lake hilo la Kiislamu.
Habari ID: 3475331    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/03

TEHRAN (IQNA)- Ufaransa imemtimua kutoka nchi hiyo mhubiri mmoja wa Kiislamu Mkomoro na familia yake baada ya kusikika akisoma aya za Qur'ani Tukufu na Hadithi za Mtume SAW zinazowahimiza wanawake Waislamu wajisitiri, wakae nyumbani na wawatii waume zao.
Habari ID: 3475241    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/12

TEHRAN (IQNA)- Msitiki umehujumiwa katika mji wa Metz, kaskazini mashariki mwa Ufaransa siku moja kabla ya Emmanuel Macron kuapishwa kuendelea kuwa rais wa Ufaransa.
Habari ID: 3475217    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/07