iqna

IQNA

Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran amesema kuwa, wananchi wa Iran wanaunga mkono mazungumzo ya nyuklia kati ya serikali na kundi la 5+1 sanjari na kuchungwa mistari myekundu ya Jamhuri ya Kiislamu.
Habari ID: 1456638    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/03