IQNA – Mkutano wa Kimataifa kuhusu "Haki za Binadamu kwa Mtazamo wa Mashariki " unatarajiwa kufanyika tarehe 27 Aprili, 2025, jijini Tehran, na utaendelea tarehe 28 na 29 Aprili katika Chuo Kikuu cha Baqir al-Olum mjini Qom.
Habari ID: 3480539 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/14
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah amesema, migogoro inayoendelea hivi sasa Mashariki ya Kati ina lengo la kuchora upya ramani ya eneo hili.
Habari ID: 1462702 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/21