Diplomasia
IQNA – Shekhe mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amepongeza misimamo ya Estonia dhidi ya utawala wa Israel.
Habari ID: 3479719 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/08
Shekhe Mkuu wa Al Azhar Sheikh Ahmed el-Tayeb amesisitiza kuhusu umuhimu wa kudumisha umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3351450 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/25
Wanazuoni wa Kiislamu leo wamemaliza kikao chao Misri ambapo wamejadili ‘fatwa za misimamo mikali’ ambazo zimekuwa zikitolewa na makundi ya kigaidi hasa kundi la kitakfiri la Daesh (ISIS).
Habari ID: 3345846 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/18
Kongamano la Kimataifa la Kupambana na Ugaidi na Uchupaji Mipaka lililokuwa likifanyika katika taasisi ya al Azhar nchini Misri limesisitiza katika taarifa yake ya mwisho kuwa, makundi ya kitakfiri na yenye misimamo mikali hayana uhusiano wowote na Uislamu.
Habari ID: 2615265 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/05
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar mjini Cairo Misri amelaani vikali jinai zinazofanywa na makundi ya kitakfiri duniani hasa kundi la Daesh (ISIL).
Habari ID: 2615011 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/04