Tehran-IQNA- Waislamu nchini Uganda Jumamosi iliyopita waliadhimisha Maulid (kumbukumbu ya kuzaliwa ) Bwana Mtume Muhammad SAW huku wakitoa wito wa amani na umoja katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki inayokumbwa na migawanyiko miongoni mwa Waislamu.
Habari ID: 2677812 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/06
Mwanaharakati wa Qur'ani kutoka nchini Iraq ameashiria Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Wanachuo Waislamu na kusema mashindano hayo ni fursa muafaka kwa washiriki kubadilishana mawazo na uzoefu kuhusu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 2663153 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/01