iqna

IQNA

Hivi sasa tumo katika Wiki ya Umoja kati ya Waislamu ambayo ilitangazwa na hayati Imam Khomeini kutokana na hitilafu za mapokezi kuhusu siku aliyozaliwa Mtume Muhammad SAW. Wiki hiyo inaanzia tarehe 12 hadi 17 Rabiul Awwal.
Habari ID: 2684362    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/08