iqna

IQNA

Ayatullah Ali Sistani, kiongozi mkuu wa kidini wa Waislamu wa Kishia nchini Iraq amewataka raia wa nchi hiyo kujiepusha na aina yoyote ya hatua za kidini au ukabila zinazoweza kuvunja umoja wao sambamba na kuacha matumizi ya silaha kinyume cha sheria.
Habari ID: 1418402    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/16

Harakati za kundi la kigaidi la DAESH katika maeneo mbalimbali ya Iraq zimekuwa sababu ya mshikamano na umoja kati ya makundi mbalimbali ya taifa la nchi hiyo.
Habari ID: 1417080    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/13