Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapinga uingiliaji wa Marekani na madola mengine katika masuala ya ndani ya Iraq.
Habari ID: 1421482 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/23
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa la Waislamu la Iraq litafanikiwa kuwarudisha nyuma magaidi na waungaji mkono wao kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu na kwamba Jamhuri ya Kiislamu itafanya kila iwezalo kulinda maeneo matakatifu nchini Iraq.
Habari ID: 1420250 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/19
Ayatullah Ali Sistani, kiongozi mkuu wa kidini wa Waislamu wa Kishia nchini Iraq amewataka raia wa nchi hiyo kujiepusha na aina yoyote ya hatua za kidini au ukabila zinazoweza kuvunja umoja wao sambamba na kuacha matumizi ya silaha kinyume cha sheria.
Habari ID: 1418402 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/16
Harakati za kundi la kigaidi la DAESH katika maeneo mbalimbali ya Iraq zimekuwa sababu ya mshikamano na umoja kati ya makundi mbalimbali ya taifa la nchi hiyo.
Habari ID: 1417080 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/13