iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Hujuma ya majeshi ya kigaidi ya Marekani kwa ushirikiano na waitifaki wao Iraq dhidi ya vituo vya Brigedi za Kata'ib Hizbullah imelaaniwa vikali kote katika nchi hiyo.
Habari ID: 3472900    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/26

TEHRAN (IQNA) – Wanachama wa Jeshi la Kujitolea la Wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashd al Shaabi wameshiriki katika hafla ya kumuenzi shahdi Abu Mahdi al-Muhandis, naibu kamanda wa jeshi hilo aliyeuawa shahdi katika hujuma ya kigaidi ya jeshi la Marekani mwezi Januari.
Habari ID: 3472867    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/15

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Harakati ya Al-Sadr ya nchini Iraq ameitaka Marekani iviondoe mara moja vikosi vyake vyote katika ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3472848    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/09

TEHRAN (IQNA) - Msikiti wa Kufa ambao uko mjini Kufa Iraq ni katika ya misikiti mikubwa zaidi katika Ulimwengu wa Kiislamu na kwa Waislamu wa madhehebu ya Shia ni msikiti wa nne kwa utukufu baada ya Al-Masjid al-Haram, Al-Masjid an Nabawi (SAW) na Masjidul Aqsa.
Habari ID: 3472773    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/17

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Nujaba ya Iran imeilaani vikali televisheni Televisheni ya MBC ya Saudia ambayo imemvunjia heshima Shahidi Abu Mahdi al-Muhandis.
Habari ID: 3472771    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/16

TEHRAN (IQNA) - Baada ya miezi mitano ya mkwamo wa kisiasa nchini Iraq, hatimaye Alhamisi Bunge la nchi hiyo limeidhinisha Baraza la Mawaziri la Waziri Mkuu Mustafa al-Kadhimi.
Habari ID: 3472742    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/08

TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu katika madhehebu ya Shia nchini Iraq ametoa Fatwa kuhusu kufunga saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wakati huu wa janga la ugonjwa wa corona au COVID-19.
Habari ID: 3472669    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/15

TEHRAN (IQNA) -Waziri Mkuu mpya mteule wa Iraq Mustafa al-Kadhimi amesema, mafanikio ya nchi hiyo katika mahusiano ya kimataifa yatapatikana kwa "kuheshimiana na kushirikiana".
Habari ID: 3472653    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/11

Brigedia Jenerali Mohammad Baqeri
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Kamandi ya Vikosi vya Ulinzi vya Iran ameashiria harakati za kijeshi za Marekani nchini Iraq na katika eneo la Ghuba ya Uajemi na kueleza kuwa Marekani itakabiliwa na jibu kali iwapo itachua hatua au kutaka kuteteresha usalama wa Iran.
Habari ID: 3472626    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/02

Iran yatahadharisha
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameashiria harakati za wanajeshi wa Marekani huko Iraq na kueleza kuwa, harakati hizo mbali na kukiuka mamlaka ya kitaifa ya Iraq zinasababisha ghasia na ukosefu wa amani katika eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3472625    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/02

TEHRAN (IQNA) - Mohammed Tawfiq Allawi, Waziri Mkuu wa Iraq ametangaza kujiondoa kuunda Baraza la Mawaziri la nchi hiyo.
Habari ID: 3472522    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/02

TEHRAN (IQNA) – Mkakati wa kutaka wanajeshi vamizi wa Marekani waondoke Iraq unaendelea kushika kasi nchini humo.
Habari ID: 3472440    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/04

TEHRAN (IQNA) - Brigedi za Hizbullah ya Iraq zimesema kuwa mapinduzi ya wananchi wa nchi hiyo yataendelea hadi wavamizi wote wa Kimarekani watakapofurushwa kikamilifu nchini Iraq na katika eneo zima la Asia Magharibi.
Habari ID: 3472405    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/25

TEHRAN (IQNA) - Mamilioni ya wananchi wa Iraq leo Ijumaa wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Baghdad wakitaka kuondoka nchini humo wanajeshi wa Marekani kufuatia shambulio kubwa la kigaidi lililofanywa na Marekani hivi karibuni nchini humo.
Habari ID: 3472402    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/24

TEHRAN (IQNA) – Awamu ya kwanza ya ukarabati muhimu wa Msikiti wa Al Nouri mjini Mosul Iraq imekamilika. Msikiti huo ulihujumiwa na kubomolewa na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) mwaka 2017.
Habari ID: 3472394    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/22

TEHRAN (IQNA) - Vikosi vya Kujitolea vya Wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashd al Shaabi vimeharibu pango kubwa zaidi la magaidi wa ISIS (Daesh) kaskazini mwa Iraq.
Habari ID: 3472365    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/12

TEHRAN (IQNA) – Ubalozi wa Marekani mjini Baghdad nchini Iraq, Jumatnao ulitangaza kusitisha huduma zote kwa umma kufuatia maandamano ya wananchi waliokuwa na hasira wa Iraq nje ya ubalozi huo.
Habari ID: 3472326    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinzudi ya Kiislamu akibainisha kwamba, 'Mimi, serikali na taifa la Iran tunalaani vikali shambulizi la Marekani dhidi ya Hashdu sh-Sha'abi ya Iraq', amesisitiza kuwa, watu wa eneo hili wanaichukia sana Marekani.
Habari ID: 3472324    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/01

TEHRAN (IQNA) - Malefu ya wananchi wenye hasira nchini Iraq leo wameandamana mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Baghdad baada ya mazishi ya wapiganaji wa Harakati ya Kujitolea ya Wananchi maarufu kama Al Hashd al Shaabi ambapo wamelaani vikali hujuma ya anga ya Marekani dhidi ya vituo vya harakati hiyo.
Habari ID: 3472320    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/31

Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Ahul Sunna
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Ahul Sunna nchini Iraq amesema kuwa maadui wanalenga kuibua vita vya ndani na kuigawa nchi hiyo vipande vipande.
Habari ID: 3472313    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/29