iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Hekima ya Kitaifa ya Iraq haitauruhusu urudi tena nchini humo.
Habari ID: 3473648    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/14

TEHRAN (IQNA)- Ujumbe kutoka makao makuu ya Kanisa Katoliki Duniani, Vatican, umetembelea Haram Takatifu ya Imam Ali AS mjini Najaf, Iraq.
Habari ID: 3473645    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/12

Msemaji wa Harakati ya Nujaba
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Nujabaa ya Iraq amesema moja kati ya mafanikio makubwa zaidi ya Mapinduziya Kiislamu ya Iran ni kuwezesha kurejea Uislamu halisi duniani.
Habari ID: 3473640    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/11

TEHRAN (IQNA)- Chombo kimoja cha habari nchini Iraq kimetangaza kuwa, shambulio la magaidi wa kundi la ukufurishaji la DAESH (ISIS) dhidi ya wapiganaji wa Al-Hashdu-Sha'abi katika mkoa wa Salahuddin limefanywa kwa msukumo na msaada wa Marekani.
Habari ID: 3473586    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/24

TEHRAN (IQNA)- Maafisa wa Iraq wamesema rais wa Saudi Arabia ni mmoja kati ya magaidi waliotekekeleza hujuma iliyopelekea raia 28 wasio na hatua kuuwa mjini Baghdad.
Habari ID: 3473578    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/21

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Jeshi la Kujitolea la Wananchi wa Iraq maarufu kama Al-Hashdu-Sha'abi au PMU amesisitiza ulazima wa kutekelezwa agizo la bunge la nchi hiyo la kutaka askari wa jeshi la Marekani waondoke nchini humo.
Habari ID: 3473569    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/18

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa na kusema hatua ya Marekani kuiwekea vikwazo Harakati ya Wapiganaji wa Kujitolea Iraq maarufu kama Al Hashd Al Shaabi (PMU( ni sawa na kuipa harakati hiyo medali ya fahari.
Habari ID: 3473541    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/09

TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu Iraq amesema waranti uliotolewa hivi karibuni na mahakama moja ya Iraq wa kukamatwa rais Donald Trump wa Marekani anayeondoka ni ushindi kwa azma ya wananchi wa kuwaadhibu waliowaua makamanda wa muqawama.
Habari ID: 3473540    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/09

TEHRAN (IQNA)- Watu wa Iraq wameandamana katika mji mkuu, Baghdad, kulaan kitendo cha kigaidi cha Marekani cha kuwaua makamanda wakuu wa vita dhidi ya ugaidi, Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na mwanamapmabano mwenza wa Iraq Abu Mahdi al Muhandis.
Habari ID: 3473496    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/27

Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Shahidi Qassem Soleimani alikuwa nguvu kubwa mbele ya mipango kiistikbari ya Marekani na ndio maana ameuliwa kigaidi na adui.
Habari ID: 3473480    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/22

TEHRAN (IQNA) - Askari wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi Iraq (PMU) maarufu kama Hashdu Shaabi wamefanikiwa kuwaangamiza magaidi watano sambamba na kuzima hujuma ya kigaidi katika eneo la al-Oaista mjini Jurf al Nasr mkoani Babel, kusini mwa mji mkuu Baghdad.
Habari ID: 3473473    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/20

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Iraq imepanga kuishtaki Marekani kutokana na kitendo cha wakuu wa Washington kukiouka mamlaka ya kujitawala ya Iraq.
Habari ID: 3473458    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/15

TEHRAN (IQNA) – Asasi moja ya kufuatilia mambo ya vita imesema uchunguzi wake umebaini kuwa Jeshi la Marekani limeua raia 13,000 nchini Iraq na Syria katika kipindi cha miaka sita iliyopita.
Habari ID: 3473376    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/20

TEHRAN (IQNA)- Sayyid Ammar Hakim, Kiongozi wa Mrengo wa Kitaifa wa al-Hikma wa Iraq amelaani vikali siasa za baadhi ya mataifa ya Kiarabu katika eneo la Asia Magharibi za kufanya mapatano na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kwamba, nchi yake katu haitafanya mapatano na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3473271    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/18

TEHRAN (IQNA) - Waislamu, aghalabu wakiwa ni wa madhehebu ya Shia, kutoka kila kona za Iraq wako katika matembezi ya wiki kadhaa ya kuelekea katika mji mtakatifu wa Karbala kwa ajili ya maadhimisho ya Arobaini ya Iman Hussein AS.
Habari ID: 3473232    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/05

TEHRAN (IQNA)- jeshi la kigaidi la Marekani wameiba malori 30 ya mafuta ya nchi hiyo na kuyahamishia nchi jirani ya Iraq.
Habari ID: 3473188    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/20

TEHRAN (IQNA) - Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa kuna magaidi zaidi ya 10,000 wa kundi la ISIS au Daesh ambao bado wanaendeleza harakati zao Iraq na Syria ikiwa imepita miaka miwili tokea kundi hilo lishindwe vitani katika nchi hizo.
Habari ID: 3473101    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/25

TEHRAN (IQNA) –Idara ya Polisi katika jimbo la Karbala nchini Iraq imetangaza kuwa ni marufuku kwa watu wasio wakaazi kuingia katika jimbo hilo hadi tarehe 13 Muharram inayosadifiana na 2 Septemba.
Habari ID: 3473099    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/24

TEHRAN (IQNA) – Mohammad Javad Zarif Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye yuko mjini Baghdad leo amekutana na Waziri Mkuu wa Iraq Mustafa al Kadhimi.
Habari ID: 3472978    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/19

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali hatua ya gazeti moja linalomilikiwa na Saudia kuchora katuni inayomvunjia heshima kiongozi wa juu wa kidini wa nchini Iraq Ayatullah Sayyed Ali Al-Sistani.
Habari ID: 3472931    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/05