iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Watu wasuijulikana wameuhujumu msikiti wa eneo la kati mwa mji mkuu wa Sweden, Stockholm Ijumaa usiku na kuchora nembo za kinazi.
Habari ID: 3471364    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/21

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Iraq limefanikiwa kuukomboa mji wa kistratijia wa Hawija ambao ulikuwa ngome kuu ya mwisho ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh nchini humo.
Habari ID: 3471206    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/06

Sayyid Ammar Hakim
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Ammar Al-Hakim, kiongozi wa Muungano wa Kitaifa, ambao ni mrengo mkubwa zaidi wa kisiasa nchini Iraq amesema kuna haja ya kutumiwa njia ya mazungumzo kutatua hitilafu zilizopo kuhusu eneo lenye mamlaka ya ndani la Kurdistan nchini humo.
Habari ID: 3471179    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/18

TEHRAN (IQNA)-Baada ya serikali ya Iraq kutangaza rasmi kukombolewa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa magaidiwa ISIS au Daesh, imebainika kuwa wakazi wa mji huo wanahitaji ushauri nasaha.
Habari ID: 3471058    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/10

TEHRAN (IQNA) Duru za usalama Iraq zinadokeza kuwa kuna uwezekano kuwa, kinara wa kundi la ISIS au Daesh la magaidi wakufurishaji kundi, Abubakar al-Baghdadi amenaswa kwenye mzingiro uliowekwa kwenye katika mji Mosul nchini Iraq.
Habari ID: 3470916    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/03

TEHRAN (IQNA)Jeshi la Iraq limetangaza kumuua kinara nambari mbili wa kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh katika shambulizi la anga, magharibi mwa mkoa wa al-Anbar nchini humo.
Habari ID: 3470915    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/02

IQNA: Kinara wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh ametoroka mji wa Mosul, Iraq kwa msaada wa wanajeshi wa Marekani katika eneo hilo.
Habari ID: 3470887    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/10

IQNA-Imamu wa msikiti mmoja katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad amepigwa risasi na kuuawa magharibi mwa mji huo.
Habari ID: 3470877    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/03

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani daima inapinga nguvu na kupata uwezo nchi za Kiislamu ikiwemo Iraq na kamwe hatupaswi kuhadaika na dhahiri na tabasamu za Wamarekani.
Habari ID: 3470736    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/12

IQNA: Magaidi wakufurishaji wa kundi la ISIS (Daesh) wamebomoa misikiti 104 katika mji wa Mosul nchini Iraq katika mapambano yanayoendelea sasa katika eneo hilo.
Habari ID: 3470730    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/10

IQNA-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Iran amelaani hujuma za kigaidi iliyopelekea watu wasiopungua 24 kuuawa katika miji ya Samarra na Tikrit nchini Iraq siku ya Jumapili.
Habari ID: 3470660    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/07

Kinara wa magaidi wakufurishaji wa ISIS (Daesh), Ibrahim al Sammarai, maarufu kama Abu Bakr al-Baghdadi, amepewa sumu akiwa pamoja na makamanda wengine wa kundi hilo katili.
Habari ID: 3470596    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/03

Magaidi wa ISIS Alhamisi walishambulia ziara la mjukuu wa Mtume Muhammad SAW katika mji wa Balad ulioko umbali wa kilomita 80 kutoka Baghdad na kuua watu wasiopungua 40.
Habari ID: 3470441    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/08

Watu 14 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mmoja viungani mwa Baghdad, mji mkuu wa Iraq.
Habari ID: 3470420    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/28

Waziri wa Mashauri ya Kigeni Iraq, Ibrahim Jafari amesema magaidi wa ISIS (Daesh) wanatega mabomu ndani ya nakala za Qur'ani Tukufu ili kuzuia jeshi la Iraq kuingia mji wa Fallujah.
Habari ID: 3470373    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/09

Watu wasiopungua 11 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya bomu kulipuka ndani ya msikiti mmoja katika eneo la Radwaniyah kusini magharibi mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
Habari ID: 3470264    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/23

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani mashambulio ya hivi karibuni za kigaidi katika mji wa Lahore Pakistan na karibu na Baghdad mji mkuu wa Iraq.
Habari ID: 3470218    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/28

Mwanazuoni wa Kisunni Uingereza
Mwanazuoni wa Kisunni nchini Uingereza amesema kundi la kigaidi la ISIS au Daesh halitafautishi baina ya Shia na Sunni katika kutekeleza jinai dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3470196    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/14

Wafanyaziara takribani milioni 27 wakiwemo wageni milioni tano wameshiriki katika maombolezo ya Arubaini ya mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW, Imam Hussein AS, katika mji wa Karbala nchini Iraq.
Habari ID: 3459722    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/04

Mamilioni ya Waislamu katika nchi mbalimbali za dunia wameshiriki maombolezo ya Ashura kukumbuka tukio chungu la kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume mtukufu, Muhammad SAW, yaani Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib AS. Nchini Iran misafara na maandamano ya mamia ya maelfu ya watu inaendelea kushuhudiwa katika miji mbalimbali katika kukumbuka siku ya Ashura.
Habari ID: 3393538    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/25