iqna

IQNA

Kinara wa kundi la kigaidi la Daesh au ISIS, Abubakar al-Baghdadi amejeruhiwa katika hujuma ya Jeshi la Anga la Iraq..
Habari ID: 3384677    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/12

Kundi la kigaidi na kitakfiri la ISIS(Daesh) nchini Iraq, limebomoa msikiti mmoja kusini mwa mkoa wa Nainawa, sanjari na kuondoa nakshi za kihistoria katika makanisa mawili katikati ya mji wa Mosul.
Habari ID: 3353853    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/30

Gazeti moja la Uingereza hivi karibuni limechapisha orodha ya misikiti 25 bora duniani kwa mtazamo wa usanifu majengo.
Habari ID: 3338961    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kusimama kidete taifa na serikali ya Iraq mbele ya magaidi na Matakfiri ni chanzo cha kudhamini usalama wa eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3315772    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/17

Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika mji wa Najaf, Iraq katika hotuba zake jana amesema kuwa, ‘maeneo mengi ya Iraq yamekomboloewa kutokana na baraka ya fatwa ya Jihad al-Kifai iliyotolewa na Ayatullah Sistani.’
Habari ID: 3313860    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/13

Hata baada ya kupita miezi kadhaa ya kusonga mbele kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika medani za vita kwenye nchi za Kiislamu, Rais Barack Obama wa Marekani amesema kuwa serikali ya Washington bado haina stratijia kamili ya kukabiliana na kundi hilo.
Habari ID: 3313196    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/11

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Saudi Arabia imefanya kosa kubwa la kuivamia na kuishambulia kinyama Yemen na bila ya shaka yoyote madhara ya jinai wanazofanya huko Yemen yatawarejea wenyewe.
Habari ID: 3300744    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/14

Kundi la kigaidi na kitakfiri linalojiita Daesh (ISIL) limebomoa msikiti mwingine wa kihistoria katika mji wa Mosul nchini Iraq.
Habari ID: 2944654    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/08

Mwanaharakati wa Qur'ani kutoka nchini Iraq ameashiria Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Wanachuo Waislamu na kusema mashindano hayo ni fursa muafaka kwa washiriki kubadilishana mawazo na uzoefu kuhusu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 2663153    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/01

Baada ya kutoa mafunzo kwa Maimamu wa miskiti kutoka nchi kadhaa za Afrika, Morocco sasa imesema itatoa mafunzo kwa maimamu 50 kutoka Ufaransa.
Habari ID: 2625018    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/22

Takribani watu milioni 20 wamewasili Karbala kwa ajili ya kushiriki katika Arubaini ya Imam Husain AS. Mkuu huyo wa mkoa wa Karbala amesema kuwa hii ni mara ya kwanza kabisa kumiminika watu kiasi chote hicho katika historia ya ziara za Imam Husain AS.
Habari ID: 2617895    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/13

Waziri wa Ulinzi wa Iraq amesema kuwa, wafanyaziara milioni 17.5 wamekusanyika katika mji mtukufu wa Karbala kwa ajili ya kushiriki maombolezo ya siku ya Arubaini ya Imam Hussein (A.S).
Habari ID: 2617814    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/12

Kituo cha Kiislamu cha al Azhar nchini Misri kimetoa wito wa kufukuzwa magaidi wote katika nchi za Waislamu.
Habari ID: 2617813    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/12

Magaidi wa kundi la kitakfiri la Daesh (ISIL) wameharibu misikiti kadhaa na Haram tukufu za Waislamu wa Sunni na Shia katika mkoa wa Salahuddin nchini Iraq.
Habari ID: 2612443    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/28

Tajiri maarufu wa Saudi Arabia Al Waleed bin Talal amekiri kuwa nchi hiyo ya kifalme inawasaidia magaidi wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIL) ambalo linapigana dhidi ya serikali za Iraq na Syria.
Habari ID: 1463446    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/25

Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina imani kwamba, wale wanaodai kuendesha mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIL) katika eneo wana nia ya dhati juu ya suala hilo.
Habari ID: 1463061    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/22

Waziri Mkuu mteule wa Iraq Haider al—Abadi ni msomi mashuhuri wa Qur'ani.
Habari ID: 1439232    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/14

Jumiya ya Nchi za Kiarabu hatimaye imetoa tamko la kulaani jinai zinazofanywa na kundi la kigaidi la Daesh baada ya kimya cha muda mrefu.
Habari ID: 1438344    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/11

Magaidi wa Kiwahabbi wa kundi la kitakfiri la Daesh wamelibomoa na kubakia kifusi kaburi la Nabii Yunus AS lililoko katika mji wa Mosul, nchini Iraq.
Habari ID: 1433174    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/25

Msomi wa Misri mwenye makao yake Qatar Sheikh Yusuf Qardhawi ametangaza kupinga tangazo la matakfiri wa Daesh la kuanzisha kile wanachokiita eti ni 'Khilafa' au utawala wa Kiislamu katika maeneo waliyoyateka Iraq.
Habari ID: 1426193    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/06