iqna

IQNA

Rais mteule wa Nigeria Muhammadu Buhari
Rais mteule wa Nigeria amesema kuwa, hakuna dini yoyote ile inayounga mkono jinai zinazofanywa na kundi la kitakfiri la Boko Haram.
Habari ID: 3233862    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/30