Wakaazi wa Zanzibar nchini Tanzania wamepokea kwa furaha tele hatua ya kuanzishwa huduma 10 za mfumo wa Kiislamu katika benki kuwahudumia wafanyabiashara, maafisa wa serikali na wananchi wa kawaida.
Habari ID: 3327967 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/14