iqna

IQNA

Maisha Matakatifu (Hayat Tayyiba) /2
IQNA – Kwa mujibu wa mafundisho ya imani ya Kiislamu, wanadamu wanaonekana kuwa ni viumbe bora na wenye uwezo wa asili unaohitaji kutambuliwa na kukuzwa; pia inashikilia kwamba mtu anaweza kupata maisha matakatifu na yenye maana ambayo yataendelea baada ya kifo.
Habari ID: 3478075    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/22

Shirika la Kimataifa la Habari za Qur'ani (IQNA) imepata zawadi ya shirika bora la habari za kidini katika Maonyesho ya 21 ya Habari na Mashirika ya Habari mjini Tehran.
Habari ID: 3449242    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/14

Gazeti moja la Uingereza hivi karibuni limechapisha orodha ya misikiti 25 bora duniani kwa mtazamo wa usanifu majengo.
Habari ID: 3338961    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/04