Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
IQNA-Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa, adui wa Israel sio kambi ya Muqawama tu na kuongeza kuwa, mauaji ya wanawake na watoto huko Gaza na makamanda wa Muqawama yamesababisha kusambaa duniani kote chuki dhidi ya utawala wa Kizayuni na Marekani.
Habari ID: 3480280 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/28
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran ameelezea masikitiko yake kuhusu kimya cha Umoja wa Mataifa na taasisi zingine za kimataifa kuhusu mauaji yanayoendelea dhidi ya watu wasio na hatia nchini Yemen.
Habari ID: 3353340 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/29