Mashindano ya 4 ya Qur’ani Tukufu Ulaya Kaskazini yameanza Ijumaa hii katika mji mkuu wa Sweden, Stockholm.
Habari ID: 3470517 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/12
Wanamaji wa jeshi la utawala haramu wa Israel wameiteka nyara meli ya misaada ya Sweden iliyokuwa imebeba misaada ya Wapalestina walio katika eneo linalozingirwa la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3321135 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/29
Mamia ya Waislamu nchini Sweden waliandamana Ijumaa kulaani kitendo cha kushambuliwa msikiti mmoja kwa bomu la petroli siku ya Alkhamisi.
Habari ID: 2637292 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/27
Mwanamke Mwislamu mwenye umri wa miaka 27 ameteuliwa kuwa waziri wa elimu nchini Sweden na hivyo kumfanya kuwa waziri wa kwanza Mwislamu katika nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 1459694 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/12