iqna

IQNA

sweden
PARIS (IQNA) - Polisi mjini Paris walitumia gesi ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kutawanya maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina siku ya Alhamisi huku serikali ya Ufaransa ikipiga marufuku maandamano yanayoiunga mkono Palestina kutokana na mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477727    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/14

Chuki dhidi ya Uislamu
STOCKHOLM (IQNA) - Msikiti mmoja kusini mashariki mwa Uswidi umeharibiwa vibaya kufuatia shambulio la uchomaji moto.
Habari ID: 3477654    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26

KUWAIT CITY (IQNA) - Jumuiya ya kutoa misaada ya Kuwait imechapisha nakala 28,000 za tafsiri ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Kiswidi (Sweden).
Habari ID: 3477559    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/07

Chuki dhidi ya Uislamu
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani jinai ya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Sweden au Uswidi na kusema kuwa, kinachotarajiwa kwa serikali ya nchi hiyo ni kuzuia jinai kama hizo na kwamba serikali ya nchi hiyo ndiyo inayobeba jukumu na dhima yote a kuvunjiwa heshima mara kwa mara matukufu ya Kiislamu nchini humo.
Habari ID: 3477216    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/30

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)-Filamu ya video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii imemuonyesha mtoto mdogo wa Kiislamu akiondolewa kwa nguvu katika familia yake ya Kiislamu na maafisa wa "huduma za ulinzi wa watoto" na askari polisi wa Ujerumani kwa sababu wazazi wake wanadaiwa kumfundisha kwamba mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja hayakubaliki katika Uislamu.
Habari ID: 3476935    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/30

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Polisi katika mji mkuu wa Uswidi (Sweden) wa Stockholm wamekataa ombi la maandamano ya kuchoma nakala ya Qur'ani Tukufu mbele ya ubalozi wa Iraq.
Habari ID: 3476575    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imejiunga nan chi za Kiislamu duniani kulaani kitendo cha hivi punde zaidi cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Sweden (Uswidi), na kusisitiza kuwa kuudhi matukufu ya Umma wa Kiislamu ni jambo lisilokubalika.
Habari ID: 3476448    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/22

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejiunga na ulimwengu wa Kiislamu katika kulaani vikali kitendo cha kuchomwa moto nakala ya Qur'ani Tukufu nchini Sweden (Usiwidi).
Habari ID: 3476444    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/22

Waislamu Sweden
TEHRAN (IQNA) – Msikiti katika mji wa kusini mwa Uswidi (Sweden) wa Jönköping umehujumiwa na kuharibiwa kwa mara ya tatu katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Habari ID: 3475759    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10

Waislamu Uswidi
TEHRAN (IQNA) - Chama kipya cha Waislamu nchini Uswidi (Sweden)kinataka kupiga marufuku kudhalilishwa kwa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3475744    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/06

Kuvunjiwa heshima Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Uswidi (Sweden) Jan Eliasson ametoa wito wa kukomesha uchomaji moto wa Qur'ani Tukufu unaofanywa na wafuasi sugu wa siasa kali za mrengo wa kulia, akibainisha kuwa kitendo kama hicho ni sawa na uhalifu chini ya sheria za Uswidi.
Habari ID: 3475647    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/19

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Rasmus Paludan, mwanasiasa mwenye msimamo mkali mwenye uraia wa Sweden na Denmark ambaye alizindua msafara wa kuteketeza moto Qur’ani Tukufu nchini Sweden hivi karibuni amekariri jinai yake hiyo yenye chuki dhidi ya Uislamu katika bustani ya jiji la Landskrona kusini mwa Sweden.
Habari ID: 3475310    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/29

TEHRAN (IQNA)- Makaburi ya Waislamu na Wakristo wa Kiothodoxi yamehujumiwa katika mji wa Malmo nchini Sweden katika kile kinachoonikana na kuongezeka chuki zinazochochewa na makundi ya wazungu wenye misimamo mikali ya kibaguzi.
Habari ID: 3475205    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/04

TEHRAN (IQNA)- Msomi mmoja wa Iraq ametoa wito kwa jamii ya kimataifa na nchi za Kiislamu kuchukua hatua za kuzuia vitendo vya kuvunjia heshima dini na matukufu ya kidini.
Habari ID: 3475149    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/21

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa wito kwa Umma mzima wa Kiislamu kuanzisha harakati kubwa zaidi dhidi ya kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Sweden.
Habari ID: 3475143    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Vituo vya Kiislamu Ulaya imelaani kitendo cha kuvunjiwa heshim Qur'ani Tukufu nchini Sweden hivi karibuni.
Habari ID: 3475139    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/18

TEHRAN (IQNA)- Waislamu na wapenda haki nchini Sweden wameendeleza maandamano kwa siku ya nne mfululizo kulalamikia mpango wa kuchoma moto nakala za Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3475138    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/18

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi mdogo wa Sweden mjini Tehran na kumfahamisha kuhusu malalamiko makali ya Iran kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na kundi moja lenye misimamo mikali nchini Sweden katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475136    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/18

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema serikali ya Sweden inapaswa kuwajibika kuhusu kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3475132    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/17

TEHRAN (IQNA)- Shule moja ya Waislamu kati mwa Sweden imeshambuliwa na watu wasiojulikana.
Habari ID: 3473737    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/15