Ayatullah Muhsin Araki
IQNA-Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema: "Maadui wa Uislamu hasa Marekani na Utawala wa Kizayuni wa Israel wanatumia uwezo wao wote kuibua mifarakano katika Ulimwengu wa Kiislamu."
Habari ID: 3470848 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/13