iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Harakati za kupigania ukombozi wa Palestina zimelaani vikali hatua ya Morocco kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473444    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/11

Msikiti wa Kutubiyaa, ni msikiti mkubwa zaidi katika mji wa Marakesh, nchini Morocco na pia ni moja kati ya misikiti muhimu zaidi nchini humo.
Habari ID: 3473424    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/05

TEHRAN (IQNA) - Mfalme Mohammad VI wa Morocco amesema nchi yake itaendelea kuunga mkono Wapalestina hadi watakaporejeshewa haki zao zote hasa kuanzishwa nchi huru ya Palestina mji wake mkuu ukiwa ni Quds (Jerusalem) Mashariki.
Habari ID: 3473411    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/01

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Morocco imetangaza kuruhusia tena swala ya Ijumaa kuswaliwa katika misikiti ya nchi hiyo kuanzia Ijumaa ya wiki hii.
Habari ID: 3473259    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/14

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu ya Morocco imetangaza kupiga marufuku tena swala za Ijumaa nchini humo kutokana na kuenea tena kwa kasi ugonjwa wa corona au COVID-19 nchini humo.
Habari ID: 3473191    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/21

TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Morocco Saad Eddine El Othman amesema nchi yake inapinga kuanzisha uhusiano wowote na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473098    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/24

TEHRAN (IQNA) – Misikiti itaanza kufunguliwa tena nchini Morocco kuanzia Julai 15 baada ya kufungwa kwa miezi kadhaa ili kuzuia kuenea kwa kasi ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472945    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/09

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Bujuma Albaz, Imamu na Khatibu katika Msikiti wa Mohammad wa Sita katika mji wa Bouznika ana sauti nzuri na yenye mvuto ya kusoma Qur'ani yenye kushabihiana na ile ya qarii mashuhuri wa Misri Abdul Basit Abdul Swamad.
Habari ID: 3472778    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/18

TEHRAN (IQNA)- Watu zaidi ya 4,300 wamekamatwa nchini Morocco katika kipindi cha siku chache zilizopita baada ya kukiuka sheria ya hali ya hatari ambayo inatekelezwa ili kuzuia kuenea ugonjwa hatari wa corona au COVID-19 katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3472662    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/13

TEHRAN (IQNA)- Madrassah zote za Qur'ani zimefungwa kwa muda Morocco na Oman kutokana na hofu ya kuoena ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama corona.
Habari ID: 3472569    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/15

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la kimataifa la masomo ya Qur'ani limefanyika katika mji wa Tangier nchini Morocco.
Habari ID: 3472058    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/28

TEHRAN (IQNA)- Morocco imejiondoa katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen.
Habari ID: 3471836    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/10

Baada ya kufanya utafiti
TEHRAN (IQNA)- Mwanasiasa wa mrengo wa kulia na mbunge wa zamani UholanzI, Joram van Klaveren aliyekuwa na chuki kubwa dhidi ya Uislamu ameibua gumzo nchini humo baada ya kutangaza kubadilisha msimamo wake na kusilimu.
Habari ID: 3471832    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/06

TEHRAN (IQNA)-Kongamano la kimataifa kuhusu changamoto katika kazi ya tarjuma ya Qur'ani limefanyika Casablanca, Morocco hivi karibuni.
Habari ID: 3471758    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/02

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Morocco imetangaza mpango wa kukarabati misikiti zaidi ya 1,000 nchini humo na imetaka ushirikiano wa sekta mbali mbali katika kufikia lengo hilo.
Habari ID: 3471755    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/29

TEHRAN (IQNA)-Kuna madrassah za Qur'ani zipatazo 14,000 nchini Morocco ambazo zinatoa mafunzo ya Qur'ani kwa wanafunzi 450,000 ambapo asilimia 40 kati yao ni wanawake.
Habari ID: 3471294    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/04

IQNA: Qur'ani Tukufu ndicho kitabu kilichouzwa kwa wingi katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu, Casablanca, Morocco.
Habari ID: 3470857    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/19

Katika Mkutano wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu Morocco
IQNA:Mkutano wa saba mkuu wa Umoja wa Vyuo Vikuu vya Ulimwengu wa Kiislamu katika kulinda utambulisho wa Kiislamu wa "Quds Tukufu" umefanyika nchini Morocco.
Habari ID: 3470852    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/16

Maulama na wasomi wakubwa walioshiriki katika kongamano la pili la kimataifa la 'Kuitafakari Qur'ani' lililomalizika nchini Morocco wamelaani vitendo vya ugaidi na makundi yenye misimamo mikali inayokinzana na mafundisho sahihi ya kitabu hicho cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3421794    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/31

Mkutano wa pili la kimataifa la kutafakari katika Qur’ani umefanyika nchini Morocco. .
Habari ID: 3410361    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/29