iqna

IQNA

morocco
IQNA - Morocco imepiga marufuku usambazaji wa jarida la Kifaransa ambalo lina katuni zinazomvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW). Serikali ya Morocco imesitisha usambazaji wa toleo namba 1407 la Marianne, ikitaja kuwepo kwa taswira zinazomvunjia heshima  Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3478483    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/10

Turathi ya Kiislamu
IQNA - Miongoni mwa vitu vinavyoonyeshwa kwenye Maktaba ya Kitaifa ya Qatar ni nakala adimu ya Qur'ani Tukufu kutoka Morocco.
Habari ID: 3478442    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/03

Ustamaduni wa Kiislamu
IQNA - Watu katika mikoa ya kusini mwa Morocco wamekuwa wakirejea tena katika Maktab (shule za jadi za Qur'ani).
Habari ID: 3478202    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/16

Harakati za Qur'ani
IQNA – Duru ya 9 la Tamasha la Kimataifa la Usomaji Qur'ani Tukufu Kwa Tajweed litafanyika Casablanca, Morocco, baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3478167    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/08

Watetezi wa Palestina
IQNA - Wakati wa maandamano ya wafuasi wa Palestina huko Rabat, mji mkuu wa Morocco, siku ya Jumapili, maelfu ya raia wa Morocco walitoa wito wa kukatwa uhusiano na utawala wa Kizayuni unaoendelea kutekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478090    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/25

Turathi ya Kiislamu
IQNA - Idadi kadhaa ya maandishi ya Qur'ani Tukufu na Kiislamu yameonyeshwa katika maonyesho ya utamaduni wa Kiislamu huko Casablanca, Morocco.
Habari ID: 3478083    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/24

Waislamu Morocco
RABAT (IQNA) - Kuna zaidi ya wavulana na wasichana 400,000 wanaohifadhi Qur'ani Tukufu katika Madrassah kote Morocco.
Habari ID: 3477881    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/12

Ulimwengu wa Kiislamu
RABAT (IQNA) – Klipu ya video inayoonyesha usomaji wa Qur’ani Tukufu watoto nchini Morocco katikaeneo lililokumbwa na tetemeko la ardhi lililosababishauharibifu mkubwa hivi majuzi imesambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3477595    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/14

RABAT (IQNA) - Zaidi ya watu 2,000 wamepoteza maisha baada ya tetemeko kubwa la ardhi la ukubwa wa 6.8 kwa kipimo cha rishta, ambalo lilikuwa na nguvu zaidi kuwahi kuikumba nchi hiyo katika miongo sita. Zilzala hiyo iliisubu Morocco siku ya Ijumaa usiku.
Habari ID: 3477579    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/11

Harakati za Qur'ani Tukufu
RABAT (IQNA) - Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Morocco imetangaza tarehe ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3477444    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/16

Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA) - Maelfu ya mashabiki Waislamu waliohudhuria mechi ya Morocco dhidi ya Ufaransa nchini Qatar walikariri tamko la Kiislamu la imani, au shahada, siku ya Jumatano, na kutuma ujumbe kwa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron aliyekuwa uwanjani hapo.
Habari ID: 3476258    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/16

Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA)-Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Soko ya Morocco, Abdel Razzaq Hamdallah hivi karibuni ameonekana akisoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476224    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/09

TEHRAN (IQNA) - Watu wamefanya maandamano katika maeneo tofauti ya Morocco ili kutoa maoni yao ya kupinga kuhalalisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3476209    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/06

Usomaji Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Abdul Aziz al-Kar’ani ni imami katika Msikiti wa Al Ghazi Ayyaz Casablanca, Morocco.
Habari ID: 3476142    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/24

Ustawi wa Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa masuala ya Kiislamu wa Morocco alisema nchi hiyo inahitaji kujenga misikiti 200 kila mwaka.
Habari ID: 3475961    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/21

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 16 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Morocco yalianza Jumanne na kumalizika leo katika mji wa Casablanca magharibi mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3475850    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/28

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya 16 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Morocco yataandaliwa baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3475730    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04

Waislamu na Michezo
TEHRAN (IQNA)- Mchezaji wa Morocco Noussair Mazraoui wa Bayern Munich na Msenegali Sadio Mane, ambao ni Waislamu, wamekataa kupiga picha wakiwa wamebeba glasi ya bia katika picha ya kila mwaka ya klabu hiyo ya Bavaria, Ujerumani kutokana na imani yao za kidini.
Habari ID: 3475713    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/31

Mgogoro
TEHRAN (IQNA)- Morocco imemuita nyumbani balozi wake wa Tunisia kulalamikia kitendo cha Rais wa Kais Saied wa Tunisia kumpokea kiongozi wa harakati ya Polisario inayopigania kujitenga eneo la Sahara Magharibi.
Habari ID: 3475698    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29

Utamaduni wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Watanzania wamepokea kwa furaha maonyesho ya uchapishaji wa Qur’ani Tukufu na Hadithi yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam.
Habari ID: 3475620    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/14