ubelgiji

IQNA

IQNA – Jumuiya mashuhuri ya Waislamu nchini Ubelgiji imetangaza kuwa itawasilisha rufaa katika Baraza la Nchi (Council of State), mahakama ya juu kabisa ya kiutawala nchini humo, ikilenga kubatilisha marufuku ya hijabu iliyorejeshwa hivi karibuni katika shule za mikoa ya East Flanders.
Habari ID: 3481680    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/19

Qurani Tukufu
IQNA - Eneo la Wallonia nchini Ubelgiji linasherehekea ufunguzi wa Msikiti wa Kanuni Sultan Süleyman huko Liège baada ya miaka 10 ya ujenzi uliotegemea wafadhili wa eneo hilo.
Habari ID: 3478503    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/13

Waislamu Ulaya
IQNA - Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu ilikataa rufaa dhidi ya sheria nchini Ubelgiji zinazopiga marufuku nyama ya Halal na Kosher.
Habari ID: 3478349    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/14

Siasa
TEHRAN (IQNA)- Assadollah Assadi, mwanadiplomasia wa Iran ambaye alikuwa akishikiliwa kinyuma cha sheria gerezani nchini Ubelgiji amerejea Tehran siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477051    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/27

Bidhaa Halal
TEHRAN (IQNA) – Waliokuwa wakitaka marufuku uchinjaji nyama kwa msingi wa dini za Kiislamu na Kiyahudi nchini Ubelgiji wamepata pigo baada ya mswada wao kushindwa katika mji mkuu wa Brussels.
Habari ID: 3475395    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/19

TEHRAN (IQNA)- Ubelgiji imeondoa marufuku ya uvaaji vazi la stara ya mwanamke wa Kiislamu Hijabu iliyokuwa imewekwa kwa wale wanaoingia katika mahakama za nchi hiyo.
Habari ID: 3474677    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/15

TEHRAN (IQNA)- Takwimu zinaonesha kuwa, asilimia 76 ya vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu nchini Ubelgiji mwaka 2017 vilihusu kushambuliwa wanawke Waislamu wanaovaa Hijabu.
Habari ID: 3471665    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/10

Kamati ya Kufuta Ubaguzi ya Umoja wa Mataifa imeikosoa serikali ya Brussels kutokana na mwenendo wake wa kinyonga katika kuanzisha taasisi ya kitaifa ya haki za binadamu.
Habari ID: 1380048    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/25