Waandamanaji hao ambao walikuzanyika kuitikia wito wa jumuiya na harakati za Kiislamu, walibeba bendera za Palestina na Uturuki na kutoa nara zinazoilaani Israel na mauaji yaliyofanywa na utawala huo dhidi ya wananchi wanaodhulumiwa wa Ukanda wa Gaza.
Waandamanaji hao pia walikuwa na mabango yenye maandishi kama vile "Israel muuaji", "Heko kwa Hamas", Sisi sote ni wapiganaji wa Hamas", Palestina haiko peke yake" na Palestina imeshambuliwa kwa sababu wananchi wake ni Waislamu." 350573