Vipindi cha televisheini hiyo vinajumuisha hotuba za maulamaa wa Kiislamu, mashindano ya Qur'ani, hadithi na maisha ya masahaba wa Mtume Muhammad (saw). Televisheni hiyo pia inatayarisha vipindi vya mafunzo ya Kiislamu.
Televisheni hiyo vilevile inafundisha watazamaji wake mbinu za kisasa za kusoma na kuhifadhi Qur'ani, lugha ya Kiarabu na tajwidi. 370967