IQNA

Wiki ya kumi ya Qur'ani yaanza nchini Algeria

14:39 - March 18, 2009
Habari ID: 1757295
Wiki ya kumi ya Qur'ani imeanza katika mji wa Darul Imam nchini Algeria.
Mpango huo wa kidini na kiutamaduni umeanza kutekelezwa kutokana na pendekezo la Rais Abdul Aziz Butefliqa na kwa ushirikiano wa Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini ya nchi hiyo. Pambizoni mwa wiki hiyo ya Qur'ani, shughuli mbalimbali za utamaduni, sanaa na maonyesho ya sanaa ya kaligrafia pamoja na vitabu vinavyohusiana na masuala ya Qur'ani yatafanyika ambapo wapenzi wengi wa masuala ya Qur'ani wataruhusiwa kuyatembelea. 379051
captcha