Kitengo hicho kipya kitasimamiwa na mtaalamu wa masuala ya benki nchini Uingereza Qasin Busalama.
Kitengo hicho kitatoa elimu kuhusu huduma za benki ya Kiislamu.
Mji wa Rennes ambao ni mashuhuri kwa jina la mji wa "Masanamu Matakatifu", uko katika eneo lililoko baina ya miji ya Marne na Champagne-Ardenne nchini Ufaransa. 382102