Mwenyekiti wa Kamati ya Kukomesha Mzingiro wa Gaza Adel Zaarab amesema kuwa kamati hiyo ina kamati tanzu 35 ndani ya Palestina na nchini Lebanon ambazo zinasaidia utekeleza wa mpango huo.
Zaarab amesema, msafara huo unajumumuisha meli kadhaa kutoka nchi za Kiarabu, Ulaya na Afrika. 383925