Mwakilishi wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Jumuiya ya Nchi za Kiislamu ISESCO limetangaza kuwa mwakilishi wake ameshiriki katika sherehe hizo kwa mwaliko wa Waziri wa Utamaduni na Vijana wa Chad.
Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Jumuiya ya Nchi za Kiislamu pia limeutangaza mji wa Qayrawan nchini Tunisia kuwa mji mkuu wa utamaduni wa Kiislamu katika ulimwengu wa Kiarabu na miji ya Baku Azerbaijan na Kuala Lumpur Malaysia kwa pamoja kuwa miji mikuu ya utamaduni wa Kiislamu barani Asia katika mwaka huu wa 2009. 385987