Kwa mujibu wa tovuti ya Nasij, mpango wa kutayarisha urushaji hewani wa matangazo ya televisheni hiyo unasimamiwa na Swakhr al-Matari.
Televisehni hiyo itakuwa ikirusha hewani vipindi mbalimbali vya kidini vinavyowavutia watazamaji wake.
Televisheni ya kwanza ya aina hiyo inayoitwa Hanibaal Firdaus ilizinduliwa nchini humo mwezi Ramadhani mwaka uliopita na redio ya Zeituna pia kuzinduliwa mwaka huohuo.
Swakhr al-Matari ni mmoja wa wafanyakazi wa Tunisia ambaye alizindua redio ya Qur'ani iliyotajwa na pia ana mipango ya kuanzisha benki ya Kiislamu nchini humo. 388436