Katika siku mbili za kongamano hilo, makala tano za wasomi wa Iran na tano za wasomi wa kigeni zitawasilishwa. Wasomi hao watajadili masuala mbali mbali yanayo husiana na amani, haki za binaadamu na dini.
Kiongamano hilo hufanyika mara moja kila miaka miwili katika chuo hicho. 401983