Vikao hivyo ambavyo vitafanyika kwa juhudi za Kituo cha Kiislamu cha Uingereza, vitakuwa vikifanyika katika kila usiku wa mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa muda wa saa moja kabla ya swala za Magharibi na Isha.
Vikao hivyo vitajadili mafundisho ya Qur'ani Tukufu kuhusu mwanadamu.
Vilevile dua ya Iftitah inayosomwa katika usiku za mwezi wa Ramadhani zitakuwa zikisomwa baada ya vikao hivyo na chakula cha futari. 627821