Mashindano hayo ambayo amefanyika chini ya usimamizi wa kitengo cha masuala ya kidini cha Jumiya ya Masuala ya Kiislamu ya Uturuki, yamehudhuriwa na walioshinda katika maeneo nanne ya Uturuki katika Chuo cha Teolojia cha Uludag.
Kila karii katika awamu hii aliulizwa maswali matatu.
Inasemekana kuwa zaidi ya wanawake elfu kumi wa Kiislamu nchini Uturuki wana stashahada za kuhifadhi kitabu kitukufu cha Qur'ani. 627973