Maandamano hayo yameandaliwa kwa ushirikiano wa Jumuiya ya Wapenzi wa Msikiti wa al-Aqsa, Taasisi ya Kiislamu barani Ulaya, Jumuiya ya Kiislamu ya Ahlul Beit (AS), Jumuiya ya Ahlul Beit (AS), Jumuiya ya Kiislamu ya Uingereza, Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Kiislamu, Umoja wa Wanachuo wa Kiislamu wa Uingereza, Jumuiya ya Umoja wa Kiislamu, Jumuiya ya Mayahudi Wanaopinga Uzayuni, Muungano wa Waislamu wa Uingereza, Umoja wa Wanachuo wa Kiislamu na Kituo cha Kurejeshwa Wakimbizi wa Palestina.
Viongozi na wasomi wa jumuiya mbalimbali za kidini na zisizo za kidini wamealikwa kuzungumza katika maandamano hayo. 633724